Nafundisha somo la Kiingereza

Mandela Kato

Member
Sep 11, 2018
14
4
Habari wana JF...

Kama ninavyotambulika, ni Mandela Kato, Mwalimu mbobezi katika masomo ya sanaa hasa somo la KIINGEREZA, mawasiliano na kimasomo;

Nachukua fursa hii kukukaribisha wewe utakayekuwa na uhitaji wa Huduma hii aidha wewe mwenyewe au mwanao/wanao,..tunaweza kufanya makubaliano ya kujifunza online (kwa njia ya mtandao) au kwa njia ya kawaida;

Zaidi ikiwa kuna wanafunzi wanaosoma masomo Saba (7) O'level (arts pure) kuna huduma nzuri kwaajili yao, Ninakukaribisha Sana

Namba yangu ni 0763126091(Watsapp na kawaida;text and calls)....

Elimu yangu Elimu yako, karibu tuwasiliane vizuri kwaajili ya Elimu yetu
 
Habari wana JF...

Kama ninavyotambulika, ni Mandela Kato, Mwalimu mbobezi katika masomo ya sanaa hasa somo la KIINGEREZA, mawasiliano na kimasomo;

Nachukua fursa hii kukukaribisha wewe utakayekuwa na uhitaji wa Huduma hii aidha wewe mwenyewe au mwanao/wanao,..tunaweza kufanya makubaliano ya kujifunza online (kwa njia ya mtandao) au kwa njia ya kawaida;

Zaidi ikiwa kuna wanafunzi wanaosoma masomo Saba (7) O'level (arts pure) kuna huduma nzuri kwaajili yao, Ninakukaribisha Sana

Namba yangu ni 0763126091(Watsapp na kawaida;text and calls)....

Elimu yangu Elimu yako, karibu tuwasiliane vizuri kwaajili ya Elimu yetu
Mwalimu wa Kingereza (Lugha), ambaye umesoma masomo ya sanaa; haujui hata sehemu unapopaswa kutumia alama za uandishi?
 

What part of speech is an "advert"?

What is the difference between an advert and advertisement?

Do you think the use of "hii ni advert", in the above post, is a right grammar and or structure?
 
What part of speech is an "advert"?

What is the difference between an advert and advertisement?
You are right,you are rught

Do you think the use of "hii ni advert", in the above post, is a right grammar and or structure?
 
Back
Top Bottom