Nafundisha B.MATHEMATICS

Kizibo255

JF-Expert Member
Jan 4, 2011
508
367
Nina uwezo mkubwa na wa hali ya juu wa kufundisha b.maths kwa o.level. Natafuta kaz ya kufundisha popote. Nimeshafundisha kwa miaka 2 na kupata mafanikio makubwa hasa NECTA 2010. A= 1. B= 13, C= 25, D= 49 F=144. Nafac ya somo ilikuwa 16/200 kimkoa 310/3362 kitaifa.
 
Nina uwezo mkubwa na wa hali ya juu wa kufundisha b.maths kwa o.level. Natafuta kaz ya kufundisha popote. Nimeshafundisha kwa miaka 2 na kupata mafanikio makubwa hasa NECTA 2010.

Jaribu kucheck na Mkandawile
 
Mimi pia nakuomba nipigie kwa namba hii uwe na 0654057730 nikupe dili. hili hata kesho nakupeleka Shule husika.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom