Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,184
- 3,577
Navizia kama kutakuwa na xiaomi mi 12 ultra niidake, maana mi 11 ultra mwaka jana ilifunika karibia takataka nyingi kwenye camera(Dxomark na Gsmarena ni mashahidi wa hili).
Umesahau Iphone mpaka leo hawajafanikiwa kuiondoa ile notch, tetesi zinasema Iphone 14 itakuwa na punch hole. Hawa majamaa washukuru tu wana mboyoyo mingi.
Umesahau Iphone mpaka leo hawajafanikiwa kuiondoa ile notch, tetesi zinasema Iphone 14 itakuwa na punch hole. Hawa majamaa washukuru tu wana mboyoyo mingi.