Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Nimesoma kote, nilipofika kwamba ukiangusha au kuibiwa simu unapoteza kila kitu kwenye iphone. Nikajua kweli wewe hufahamu unayoongea. Nani alikueleza hii maneno
aidha ulikuwa hujatulia wakati unapiga picha au kamera yako ishaharibika hio maana hata maandishi hayasomeki kwenye picha uliyowekaNimeipiga na samsung s7 ambayo ndo nimekwambia inatoa vimwanga vya notification..sijaipiga na iphone,maana nsingeweza kwakuwa targeted ilikuwa yenyewe hiyo iphone so i had to take pic with samsung galaxy s7 edge na tena giza ndio limesababisha yote hayo
😂😂awa ngoja nirudie tena ni kweli nilimove wkt napiga.S7 haijawahi kuniangusha mkuu ni moja ya chaguo langu ktk androidaidha ulikuwa hujatulia wakati unapiga picha au kamera yako ishaharibika hio
yani picha hii hata nokia yangu ya 2009 ina unafuu, huenda umeuziwa ethi 7 sio s 7 mkuu 🤣
i cloud inakupa gb 5 bure na hii ndio wabongo wengi wameizoea, sasa vuta picha una files zako gb 200 huko, zitatosha huko i cloud ?Nimesoma kote, nilipofika kwamba ukiangusha au kuibiwa simu unapoteza kila kitu kwenye iphone. Nikajua kweli wewe hufahamu unayoongea. Nani alikueleza hii maneno
1. Hata samsung s22 na nyingine high end android phones hazina eearphone jack. Kama kawaida uwa akianza iPhone anapondwa hadi na samsung wenyewe nao baadae wanafuata.kwa style hii utafata mkumbo bila reasoning kama watumiaji wa haifoni
Android ni mbuga yenye simu nyingi sana, Samsung akiringa unahamia kwengine, zipo simu nyingi sana1. Hata samsung s22 na nyingine high end android phones hazina eearphone jack. Kama kawaida uwa akianza iPhone anapondwa hadi na samsung wenyewe nao baadae wanafuata.
Aliacha kuweka charger akapondwa nao wakafuata.
iphone kwa multi tasking ni mzigo, labda kama unamaanisha ku minimize screen ya youtube huku unatumia fb🤣🤣2. Unasema huwezi kufanya multi tasking kwenye iPhone, mkuu umewahi kuitumia au unasema tu?
sizitaki mbivu hizi3 Kuhusu apps, hivi ni bora kuwa na nguo chache lakini za maana au kuwa na bag la nguo nyingi hata ambazo hazina maana yani ukiivaa ukajitazama kwenye kioo unaivua. Ndivyo playstore ilivyo. Ina apps nyingi ambazo unaistall unakuta haifanyi hata walichosema inafanya unaiondoa. Kwasababu ni rahisi kuweka app playstore wakati istore wanamchakato serious.
tatizo unaishi mjini, huko vijijini kuna sehemu network ni changaamoto sana huwezi kupata internet kabisa, kwa lugha nyepesi hutaweza kusikiliza redio4. Mwendo wa kustream ndio maana kuna maspotify na stations ziko kwenye mtandao.
Sawa, endelea kusubiri 🤣🤣5. Ipe miaka 3 mbele utaona atakavyokaza kabisa.
chip ya nguvu ya nini wakati hata multi tasking tu shidaMfano SE ya mwaka huu ina bionic chip ambayo ndiyo chip yenye nguvu kwa sasa na ndio iko kwenye iPhone 13.
kaa kimya wewe, mziki wa android umeukubali 🤣🤣 karibu kwenye chama kubwaNatumia android kwa sasa, ila iOS ni habari nyingine.
kweli wewe ni NAWATAFUNAvibinti vinavyomiliki izo iphone uwa vinanata sana kisa vinamiiki iphone.
navipiga pipe mpaka vinajamba na iphone yake inashuhudia.
Iphone ni multi tasking unless kama mara ya mwisho umetumia iPhone 3gs.Android ni mbuga yenye simu nyingi sana, Samsung akiringa unahamia kwengine, zipo simu nyingi sana
iphone kwa multi tasking ni mzigo, labda kama unamaanisha ku minimize screen ya youtube huku unatumia fb🤣🤣
sizitaki mbivu hizi
View attachment 2166498
tatizo unaishi mjini, huko vijijini kuna sehemu network ni changaamoto sana huwezi kupata internet kabisa, kwa lugha nyepesi hutaweza kusikiliza redio
Sawa, endelea kusubiri 🤣🤣
chip ya nguvu ya nini wakati hata multi tasking tu shida
kaa kimya wewe, mziki wa android umeukubali 🤣🤣 karibu kwenye chama kubwa
Mkuu nipo sijalala nimekujibu hapo juu maana napenda ubishi kuliko kula 🤣sky soldier
mkorinto
Link
Bavaria
Nafaka
Kiranga
Pancras Suday
Champagnee
Nash9
rikiboy
Nguniani
Kilangi masanja
mojave
officialBossmtoto
The Underboss
Ettore Bugatti
Touch ID
pongwer
smigo4u
Ndekrepha
Dinazarde
Good Father
Amehlo
Bushmamy
pandagichiza
uttoh2002
Jaji Mfawidhi
Lovelucky
Hazchem plate
Nature
East Wind
mjasiliaupeo
racka98
Mayu
Nyani Ngabu
ILISACHA
Takumi
zipo simu kibao za High end kwa android, Samsung akitoa wenzake wanaweka.Mm sio iphone user na wala sijawahi kuzipenda ila mengi uliyoyataja apo yapo pia kwa android...mfano flagships nyingi za android sa hv hazina radio, hazina sd card expansion,hazina earphone jack(samsung wameenda mbali zaidi wametoa mpk kwny midranges zao), price ya Iphone 13 pro max na S22 ultra they match toe to toe,pia nimetumia highends nyingi za samsung hazina hzo radio...ifike mahali kila mtu abaki na OS yake anayoiamini sio hz useless attacks zisizo na msingi!
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
1. Sasa nimegundua kuwa hujawahi kutumia iphone ama umeitumia zamani sana. iOS ilianza kuwa multi tasking kuanzia iOS 4.0 back in 2010.Rooting inafanyika bado, tutorials kibao zipo youtube, labda kama wewe hujui kufata maelezo
hio iphone 13 bado haina memory card, bado haina customization, bado haina radio, bado haina alwys on display,,,, hata android y laki 4 inamkmbiza iphone 13 hapa.
ya nini sasa kama hata multi tasking ni jipu
wewe umeingia vichwani mwao kujua hilo ??
unarudia kosa lile lile, hebu acha kuwasemea watu , umeingia vichwani mwao ? wapo watu hali za uchumi ni mbaya wanajibana bana wananunua iphone zilizoumika, hawa ni mapedesee ?
Ishu ni kwamba unanunua mzigo ambao utaamua mwenyewe ufanye unachotaka, hakuna mambo ya kubanwa banwa
mbona unaandika mara nyingi hii sentensi, kanywe maji naona ume paniki
Labda huwa unajibana kutumia youtube, battle ya android vs iphone ni moja kati ya vitu vinavyofatiliwa mno na pande zote mbili, kwa ambao tumebahatika kufika ulaya tunajua jinsi watu walivyo obsessed na haya mambo,
mpaka ufanye jail break 🤣🤣
Xiaomi redmi note 10 nazo hazitoi mwanga wa notificationsKweli aisee samsung s7 edge yangu hutoa mwanga wa blue meseji ikiingia wakati simu ikiwa kwenye sleep,pia taa ya kijani hujulisha missed call,na blue bahari uashiria text za whatsap ..lakini pia nina iphone 12 pro max nilikuwa nalinganisha baadhi ya vitu kutoka kwenye uzi huu nkagundua ni kweli unayosema aisee🤣
View attachment 2166424
Hiyo ni kwa ujumlaMakampuni yaliyouza simu nyingi 2021.
1.Samsung
2. Xiaomi
3. I-phone
Source : These are the Best Selling Smartphone Brands in 2021 - Tech2Sports