ZigiZaga
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 942
- 1,057
Hili jambo sijalielewa kabisa, mnisaidie!
Nyumbani kwangu kuna ndege wengi sana tena wengine wameweka viota vyao mpaka darini, hasa kwenye baraza la nyumba.
Nina ofisi maeneo fulani ya mji, nashangaa ndege hawa hapa, alianza mmoja wameongezeka kila siku, wamefikia hatua yakujenga viota vyao nje ya dari la ofisi yangu.
Kuna boma nimelianzisha sehemu, juzi nimeenda hapo nikakuta miti yote ni viota vya ndege.
Naombeni wadau mnisaidi hii inaweza kuwa nini!
Nyumbani kwangu kuna ndege wengi sana tena wengine wameweka viota vyao mpaka darini, hasa kwenye baraza la nyumba.
Nina ofisi maeneo fulani ya mji, nashangaa ndege hawa hapa, alianza mmoja wameongezeka kila siku, wamefikia hatua yakujenga viota vyao nje ya dari la ofisi yangu.
Kuna boma nimelianzisha sehemu, juzi nimeenda hapo nikakuta miti yote ni viota vya ndege.
Naombeni wadau mnisaidi hii inaweza kuwa nini!