Kutokunyesha mvua unahusishaje na makosa ya binaadamu?Hali ni mbaya sana nchi hii. Na bado mvua hazinyeshi, so njaa + uchumi mbovu lazima tutanena kwa lugha mwaka unaokuja.
Acha ukiazi wewe, wapi nimehusisha hilo na makosa ya binadamu, unajua kusoma?Kutokunyesha mvua unahusishaje na makosa ya binaadamu?
PPF, NSSF NA PSPF mifuko yote hii imeingiliwa na siasa ndo tatizo kubwa bora kidogo LAPF ambako bado kuna onekana kuna uhai kidogo.