Kweli tumebaki wachache sana aisee,Shouger! ndio wanaume wanaanza kupotea hivyoooo.
Huyu jamaa ni mwoga hakuna mfano!Ushauri wako ni wa kipuuz.
ungeanza kumsaidia mama aliyeibiwa kwnza ww unashaur wawe makin na wakt tukio zima uliliona kwnn usingetoa msaada.
wakina nyinyi ndio mnatufanya wanaume wa Dar wote tuonekane kama wewe
Hamna kitu kama hicho, jamaa ni nyoronyoro ameona aibu kumkamata mwizi.Huenda mwizi alikuwa na kizizi cha kuwapumbaza...usijilaumu sana