Nimefungua redio kusikiliza matokeo nasikia CCM imepoteza Uchaguzi Mkuu na sehemu nyingi imeshindwa kutetea ubunge,ghafla matangazo yameisha inayofuata ni nafasi ya Uraisi nayo CCM imepoteza.
Shangwe na vifijo nchi nzima ni zaidi ya siku kuu unasikia vituo vya redio vya kila aina vikiuponda utawala wa CCM, maafande nao wanasikika na kuonekana vituoni wakiwa wamefurahi na ni kama wamepata likizo ya muda mrefu baada ya kazi ngumu.
Inatilisha huruma sana, unajua binadamu tuna hulka za kufanya kitu haswa maamuzi magumu baadae ukaingia simanzi na kuwafikiria wale uliowatolea yale maamuzi.
CCM chama chenu kinaelekea kushindwa na kwa kweli ni maangamizo ya karne kwa Chama kikongwe kupumzishwa na sio kupumzishwa bali kushindwa.
Nafikiria sana kama zile ofisi na bendera zake zitamudu kuwepo muda mrefu mitaani, naona kama imekuwa kiama kwao na ndio mwisho wao wa kusikika tena, walio wengi wao hawatoweza kuvaa tena nguo zao zenye Jembe na nyundo.
Naelewa aibu itatawala kwenye nyuso zao,yale majigambo ya kuwatisha na kuogopewa na wananchi yatakuwa hawanayo tena,sijui wataishi ishi vipi, maana tunajuana na ubaya na vizingiti vyao bado makovu hayajapotea,japo tumepona kwa ghafla, maana kuanguka kwa CCM ni tiba mbadala ya maendeleo ya Mtanzania.
Shangwe na vifijo nchi nzima ni zaidi ya siku kuu unasikia vituo vya redio vya kila aina vikiuponda utawala wa CCM, maafande nao wanasikika na kuonekana vituoni wakiwa wamefurahi na ni kama wamepata likizo ya muda mrefu baada ya kazi ngumu.
Inatilisha huruma sana, unajua binadamu tuna hulka za kufanya kitu haswa maamuzi magumu baadae ukaingia simanzi na kuwafikiria wale uliowatolea yale maamuzi.
CCM chama chenu kinaelekea kushindwa na kwa kweli ni maangamizo ya karne kwa Chama kikongwe kupumzishwa na sio kupumzishwa bali kushindwa.
Nafikiria sana kama zile ofisi na bendera zake zitamudu kuwepo muda mrefu mitaani, naona kama imekuwa kiama kwao na ndio mwisho wao wa kusikika tena, walio wengi wao hawatoweza kuvaa tena nguo zao zenye Jembe na nyundo.
Naelewa aibu itatawala kwenye nyuso zao,yale majigambo ya kuwatisha na kuogopewa na wananchi yatakuwa hawanayo tena,sijui wataishi ishi vipi, maana tunajuana na ubaya na vizingiti vyao bado makovu hayajapotea,japo tumepona kwa ghafla, maana kuanguka kwa CCM ni tiba mbadala ya maendeleo ya Mtanzania.