Muungano sio endelevu kivipi?Sina hakika kama Muungano wetu ni endelevu kuweza kumshawishi mtu kutoka Bara kubeba risk ya kuwekeza Zanzibar. Labda kama ni kitu cha muda
Sina hakika kama Muungano wetu ni endelevu kuweza kumshawishi mtu kutoka Bara kubeba risk ya kuwekeza Zanzibar. Labda kama ni kitu cha muda
itategemea zaidi na uwezo wako wakifedha, Kuna fursa maeneo ya utalii kama kuingia ubia kwenye hotels, kufungua mikahawa.Kama nilivoandika. Nahitaji kujua FURSA
Anzisha biashara ya kitimotoHabari mdau.!
Nina Tamani sana kuwekeza Zanzibar. Nahitaji mawazo na ushauri kwa waoifaham vizuri.
Pros and Cons
Upatikanaji ardhi(beach Au inland)
Service Demands
Challenges.
Nitashukuru sana.
Tuma voice mkuuNataman ningekupa info hata kidogo,sema niko kwenye majukum na mvivu kuandika maandishi marefu.
Kuna waTz wamewekeza Kenya, S/A, Dubai, Canada, nk, ambako hatuna muungano wowote..Sina hakika kama Muungano wetu ni endelevu kuweza kumshawishi mtu kutoka Bara kubeba risk ya kuwekeza Zanzibar. Labda kama ni kitu cha muda
Mrejesho mkuu..Habari mdau.!
Nina Tamani sana kuwekeza Zanzibar. Nahitaji mawazo na ushauri kwa waoifaham vizuri.
Pros and Cons
Upatikanaji ardhi(beach Au inland)
Service Demands
Challenges.
Nitashukuru sana.
Kuna ugumu kupata beach plot huko?Ingawa ningepata beach plot ingekua zaidi ya vema.
Thanks for asking.