King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,624
Kama hauna mtoto unafanyiwa hivyo siku mkipata mtoto basi utapigwa benchi mwaka mzima.
Unagawa hisia na kukaribisha mapepoMkuu swala la kuchepuka wewe unalichukuliaje? Au lina nguvu gani kwenye ulimwengu wa kiroho?
Ongea naye kwanza kabla hujachukua maamuzi haya hatari..ongea naye kwa utulivu na upendo kisha zijali hisia zake
kwanini Waisilamu waliambiwa wake 4 ruksa, hapa ningekuwa na mke wa 2
Ndani ya ndoa haiitwi "ngono" bali "tendo la ndoa"Naona unapenda ngono sana? Unafikiri kwanini Mungu hakumpa Adam mke zaidi ya mmoja? Amri kuu ya ndoa ndiyo inaanzia hapa. Hao wanawake wawili ni kuhalalisha uzinzi na usherati
Ndani ya ndoa haiitwi "ngono" bali "tendo la ndoa"
uelewa unatofautianaNi neno lile lile
Kuna tofauti gani kati anayefanya ngono na anayefanya tendo la ndoa?
Ni sawa mcheza X na ww hakuna tofauti. Ww unafanya kwa siri na yeye anafanya mbele ya Camera
uelewa unatofautiana
pasaka njema mkuu
That's true, maana hadi kuachana hali ilikuwa mbaya zaidi ya hiiHata X ungemuoa hali ingeweza kuwa hiyo hiyo au mbaya zaidi.
Ukiwa na mwanamke anapenda sex kila siku (japo ndio ulevi wangu) jua ya kwamba ukisafiri tu hata siku tatu atakuwa na kaimu mume wakati ww upo kwenye mitikasi yako
Mvumilie mkeo. Kuna nyakati ambazo atakuvumilia yeye.That's true, maana hadi kuachana hali ilikuwa mbaya zaidi ya hii
Samahanii,,,kwani inatakiwa kila siku kuwe na tukio?? mbona ndoa ni ngumu sasaKuna wakati alinipa sababu kama hiyo , nikamuelewa ila ili ikawa kila baada ya siku moja mara 2 mara 3 ila sasa wiki, tunapoelekea naogopa itafika mwezi , nitajikuta nachukua maamuzi magumu
Ndani ya ndoa haiitwi "ngono" bali "tendo la ndoa"
Wana jamvi salaam,
Naona huyu shemeji yenu majukumu ya chumbani yamemshinda, .
Real Confession :
Kwa wiki 3 sasa nimemkumbuka my ex girlfriend aisee hadi namuota kila siku , it has been 6 years toka tuachane ila nikiri tulikuwa na « a very good chemistry together on bed »