Nashukuru sana mkuu kwa kuonesha utayari wa kunisaidia. Nakuja pm mkuuMkuu ulivyojielezea nimekumbuka maisha yangu enzi za saidia fundi kule Iringa na Njombe daah hadi nimetamani nikupe tu hiyo hela ukipata utarudisha, ukikosa kurudisha basi utakuwa umesogeza gurudumu la maisha mbele na huenda ukaja kusaidia kizazi changu mbeleni au ukaja kuifanya dunia iwe mahali salama pa kuishi, tuwasiliane!
Mkuu si ungetupa basi na sisi wenzako hilo wazo lako la biashara! Maana tupo tu mtaani tunahangaika. Maisha ni magumu kweli kweli! Ajira hakuna!! Dah!! We acha tu.Nashukuru sana mkuu kwa kuonesha utayari wa kunisaidia. Nakuja pm mkuu
ni biashara ambayo ni endelevu, kuna mtu alikua akiifanya ivyo ipo tayari imesimama ktk njanja ya wateja, ni biashara ya samaki wabichi naingia ubia wa kumletea aina flani ya samaki kwa uyo mtu.Mkuu si ungetupa basi na sisi wenzako hilo wazo lako la biashara! Maana tupo tu mtaani tunahangaika. Maisha ni magumu kweli kweli! Ajira hakuna!! Dah!! We acha tu.
Bro umemkatisha tamaa kabisa mkopajisasa usipolipa huyo aliyekukopesha hivyo vyeti vitamsaidia nini? imagine wewe mwenyewe havijakusaidia hapo
Mkuu namuomba radhi sana. Lakini nadhani nimeweka ukweli mtupu. Mkopeshaji anachohitaji ni dhamana ambayo hata mkopaji asipolipa basi dhamana inaweza kutumika kufidia (kulipia) deni. Sasa vyeti haviwezi kuuzwa ili kufidia deni husika.Bro umemkatisha tamaa kabisa mkopaji
hee!! kumbe hujui? vina madini ya fedha kwa pembeni kama cha form four na six.Sidhani kama vyeti vina qualify kama dhamana. Maana havina value yoyote, vingekua na monetary value watu wengi tungeshavipiga bei.