Habari za mchana wana bodi.
Kwa jinsi mambo yalivyo magumu huku mtaani hasa biashara nimefikilia nimeona nitumie mtaji wangu wote kufungua Ofice kubwa ya upelelezi yaani niwe na leseni ya Mpelelezi binafsi.
Sasa sijajua kama sheria ya nchi hii itaniruhusu kwa anaejua tafadhari anisaidie hapo kwani najua kupitia wazo langu nitaajiri vijana wengi.
si lazima ufanye za kukamata ugoni,kuna upelelezi unahusisha pia na mambo ya biashara ,siasa ,mfano mimi mfanyabiashara naona mpinzani wangu wa biashara anapeta kuliko mimi,nini siri ya urembo,anauza wapi mzigo na kwa bei gani,anatumia logistick zipi,anatoa wapi mzigo na kwa bei gani,anatumia mbinu zipi kupata tenda serikalini etc.Huo mtaji ni bora ukafanye biashara ya kuuza simenti ya Dangote... Zama hizi za simu wtu wanafanya udetective wenyewe. Wananasa wagoni wao na wanaenda kwenye tukio kulianzisha wenyewe. Siku hizi haina haja sana ya kufuatilia mgoni wako thru private detective...
Your concept is good...si lazima ufanye za kukamata ugoni,kuna upelelezi unahusisha pia na mambo ya biashara ,siasa ,mfano mimi mfanyabiashara naona mpinzani wangu wa biashara anapeta kuliko mimi,nini siri ya urembo,anauza wapi mzigo na kwa bei gani,anatumia logistick zipi,anatoa wapi mzigo na kwa bei gani,anatumia mbinu zipi kupata tenda serikalini etc.
Kama kisiasa mshindani wako ana scandal zipi,background yake etc,vyanzo vyake vya fedha halali ama haramu,etc.
Vitu kama hivyo,waweza anzisha private agency kwa kazi kama hizo na ukatengeza faranga bila wasiwasi muhimu uwe na vijana mahili kwa kazi kama hizo za kunusanusa
Habari za mchana wana bodi.
Kwa jinsi mambo yalivyo magumu huku mtaani hasa biashara nimefikilia nimeona nitumie mtaji wangu wote kufungua Ofice kubwa ya upelelezi yaani niwe na leseni ya Mpelelezi binafsi.
Sasa sijajua kama sheria ya nchi hii itaniruhusu kwa anaejua tafadhari anisaidie hapo kwani najua kupitia wazo langu nitaajiri vijana wengi.
Huwa Nakasirika Sana kusikia mtu anaomba kazi huku anavigezo vyote vya kujiajili... Hivi Elimu yetu ni kwa ajili ya kuajiliwa tu? yaani Mtu akishindwa Maisha ndio anajiajili mwenyewe na aliyesoma anaajiliwa na asiyesoma nini maana yake hii?????????????????Mkuu ukipata shavu naomba uniajiri niko vizuri kwenye hyo sector
Mkuu sasa asiponiajiri hyo kazi atafanya mwenyew. Jamani hata anaejiajiri anaajiri na watu wengine. Mfano nikijiajir ntakua mwenyew kiongozi si natafuta wasaidizi.Huwa Nakasirika Sana kusikia mtu anaomba kazi huku anavigezo vyote vya kujiajili... Hivi Elimu yetu ni kwa ajili ya kuajiliwa tu? yaani Mtu akishindwa Maisha ndio anajiajili mwenyewe na aliyesoma anaajiliwa na asiyesoma nini maana yake hii?????????????????
huwezi kupata hiyo leseniHabari za mchana wana bodi.
Kwa jinsi mambo yalivyo magumu huku mtaani hasa biashara nimefikilia nimeona nitumie mtaji wangu wote kufungua Ofice kubwa ya upelelezi yaani niwe na leseni ya Mpelelezi binafsi.
Sasa sijajua kama sheria ya nchi hii itaniruhusu kwa anaejua tafadhari anisaidie hapo kwani najua kupitia wazo langu nitaajiri vijana wengi.