Nafikiria kuelekea nchini Malawi kwa ajili ya kuangalia Fursa mbalimbali za kibiashara

Malawi ni moja ya nchi maskini, usishangae kuona mtu anaenda BMW X6 halafu anaishi kwenye nyumba ya nyasi.

Mji wa kibiashara ni Blantyre, pesa yako ni kwacha ambayo 6000 ya Malawi ni sawa na buku jero ya Tanzania kama sikosei.

hakikisha unakuwa na pass zote coz kule baada ya Km. chache kuna polisi check.

Totozi za kule ni hovyo ni bora za chato.

Shopping kubwa kama za nguo hasa wakati wa sikukuu wanafanya Kyela.

Usishangae kuona V8, Beenz, BMW, N.K zinamilikiwa na mtu wa kawaida ambae anaishi kwenye kijumba kama cha chato.

MWISHO Ukimwi unaua mkuu

UCHAWI NI NJE NJE hata wa nchini kwetu CHATO hauoni ndani.

wekeza biashara ya nguo inalipa
 
Malawi ni moja ya nchi maskini, usishangae kuona mtu anaenda BMW X6 halafu anaishi kwenye nyumba ya nyasi.

Mji wa kibiashara ni Blantyre, pesa yako ni kwacha ambayo 6000 ya Malawi ni sawa na buku jero ya Tanzania kama sikosei.

hakikisha unakuwa na pass zote coz kule baada ya Km. chache kuna polisi check.

Totozi za kule ni hovyo ni bora za chato.

Shopping kubwa kama za nguo hasa wakati wa sikukuu wanafanya Kyela.

Usishangae kuona V8, Beenz, BMW, N.K zinamilikiwa na mtu wa kawaida ambae anaishi kwenye kijumba kama cha chato.

MWISHO Ukimwi unaua mkuu

UCHAWI NI NJE NJE hata wa nchini kwetu CHATO hauoni ndani.

wekeza biashara ya nguo inalipa
Sawa mkuu nimekuelewa vizuri
 
Malawi ni moja ya nchi maskini, usishangae kuona mtu anaenda BMW X6 halafu anaishi kwenye nyumba ya nyasi.

Mji wa kibiashara ni Blantyre, pesa yako ni kwacha ambayo 6000 ya Malawi ni sawa na buku jero ya Tanzania kama sikosei.

hakikisha unakuwa na pass zote coz kule baada ya Km. chache kuna polisi check.

Totozi za kule ni hovyo ni bora za chato.

Shopping kubwa kama za nguo hasa wakati wa sikukuu wanafanya Kyela.

Usishangae kuona V8, Beenz, BMW, N.K zinamilikiwa na mtu wa kawaida ambae anaishi kwenye kijumba kama cha chato.

MWISHO Ukimwi unaua mkuu

UCHAWI NI NJE NJE hata wa nchini kwetu CHATO hauoni ndani.

wekeza biashara ya nguo inalipa
Sawa mkuu nimekuelewa vizuri


6000 YA MALAWI SAWA NA TSH 20,000

6000 MWK = 20,000TSH
 
Nafikiria kuelekea nchini Malawi kwa ajili ya kuangalia Fursa mbalimbali za kibiashara
Kwa anayeifahamu vizuri nchi hii anisaidie majibu ya maswali haya
1.Gharama za maisha zipoje mfano Hotel,Chakula
2.Lugha gani kuu
3.Miji gani ni mizuri kutembelea
4.Mila na desturi zipoje hawana ubaguzi na mataifa mengine maana msumbiji ni balaa muda wowote wageni mko hatarini
5.Kutoka songea hadi mji wa karibu huko malawi Niandae nauli kiasi gani
NB Kama nitafahamishwa bajeti ya jumla kutoka songea hadi malawi ntashukuru sana

Malawi sio pazuri kwa kwenda kuanzisha biashara ila ni pazuri kwa kupeleka mali na kugeuka,polis wao ni kama wa msumbij wanapenda rushwa na wanyanyasaj pia raia ao wana roho mbaya kwa wageni yaani kuua mgeni ni kawaida
 
Back
Top Bottom