Hapo ungemtaja mzee baba late Pombe 😃!.Sheria zinaruhusu lakini utekelezaji wake utakufa mapema!
Labda uchunguzi wako ujikite kupeleleza mikutano ya chadema ndo utadumu!
Kwasababu uhalifu mwingi una mkono wa ndani, aliyeko ndani anakujua na wewe!
Aliyeko ndani akijua atakusanua na kwasababu anakujua upo,
anawambia wajuba KACHOMOENI betri na Ikiwezekana na ofisi yako itachomwa!
Uharifu mwingi una mkono wa ndani! Ndiyo maana ukitaka kuudhibiti ujambazi piga mkwara sana ndani kuwatimua! Uone kama ujambazi utatokea
Ofisi zao zipo wapi?sheria inaruhisu kabisa...kama una nia jipange na usirudi nyuma....zipo 2 na zinafanya kazi na idara ya usalama...nakutajia moja tuu...dirty informer..... nkuna ngoma zinawashindaga polisi..... skills na technology..
Shukurani mkuuMkuu nadhani inawezakana, sababu Private investigator wewe hautaingiliana na Police moja kwa moja kwamba uingilie kesi zao za kiupelelezi. Unawateja wako, mtu Akitaka huduma ufanye upepelezi ndio utapeleleza .
Sasa Sioni sababu ya kushindikana Hilo, Private investigator wanadeal na Mambo mengi sio kesi za kipolisi tu.
Kwa wenzetu hata Nikija nikisema nataka ufanye background check ya mtu fulani Kama private investigator hapo wewe ndo utahusika. Police hawana huduma za background check.
Naona Ni Idea nzuri, ifanye Kazi. wateja Utapata.
Mkuu mleta mada nakushauri ukatesti zari usiogope bwana halafu ukikubaliwa please naomba uniajiri
Mkuu usiulize ofisi we andika tu kwa ile wizwara ya zamani ya mifukomabendera let madeluu le systemeOfisi zao zipo wapi?