Mwongozo wa Namna ya Kuanzisha na Kuendesha Biashara ya Mini Supermarket

Milioni 20 ni ndogo,

Sheliving to vifaa vya kufanyia kazzi kama system etc ni kama 7-15M na zaidi kutegemea na aina ya eneo.Mambo ya kodi leseni etc so kwa aufupi jipange kuwekeza zaidi ya hapo .Angalizo.Usiweke supermarket uswazi weka sehemu yenye watu wa middle income
Sikuhizi Uswazi zinalipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Milioni 20 ni ndogo,

Sheliving to vifaa vya kufanyia kazzi kama system etc ni kama 7-15M na zaidi kutegemea na aina ya eneo.Mambo ya kodi leseni etc so kwa aufupi jipange kuwekeza zaidi ya hapo .Angalizo.Usiweke supermarket uswazi weka sehemu yenye watu wa middle income
Asante kwa ushauri. Unadhani ni kiasi gani kitafaa kwa kuanzia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa ushauri. Unadhani ni kiasi gani kitafaa kwa kuanzia?

Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea na location kwa sababu locatio zinazofaa kwa mini supermarket unakuta hata rental yake ni kubwa a pia huwa eneo ni kubwa kwa unahitaji angalau sqm 36 na kuendelea ambazo zinaweza hata kuzidi.Zile shelf za supermarket nazo bei zake ni ndefu bado mafriji,mapambo/branding nafikiri weka budget ya 30m plus na pia utafute watu wanaoweza kusuply vitu on credit/yaani mechandiser ambao wanaweza kukusaidia kushusha operating cost kwa mwanzoni.

Ila kwa uelewa wangu mdogo aim for 30M plus
 
Inategemea na location kwa sababu locatio zinazofaa kwa mini supermarket unakuta hata rental yake ni kubwa a pia huwa eneo ni kubwa kwa unahitaji angalau sqm 36 na kuendelea ambazo zinaweza hata kuzidi.Zile shelf za supermarket nazo bei zake ni ndefu bado mafriji,mapambo/branding nafikiri weka budget ya 30m plus na pia utafute watu wanaoweza kusuply vitu on credit/yaani mechandiser ambao wanaweza kukusaidia kushusha operating cost kwa mwanzoni.

Ila kwa uelewa wangu mdogo aim for 30M plus
30m bado sanaaa.
Akitoa kodi hapo inashuka mpk 20,

Kwa uzoefu mdogo sana aweke 45-50

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hiyo biashara tafuta eneo ambalo unadhani utafanya biashara kwa hiyo pesa utafanya biashara Tanzania ukizingatia ukiwa na office wengi watakuja kukupa bidhaa uwalipe baada ya muda cha msingi uwe mwaminifu na lipa mapema usiwasumbue kwa pesa uliyonayo ukatembea Dar es salam kutafuta shelf kwa bei nzuri si lazima ukaanza na vyoote viwepo aanza na vile unadhani vina mzunguko Mkubwa ili kadri unapopata pesa unanunua vitu vya kutunza bidhaa hapo Dukani...ukiuliza sana mtaji Tanzania hufanyi biashara Mkuu wengi wanajibu kwa mtu alie kwenye mzunguko sio anaeanza..
 
Habari wadau? Ni matumaini yangu kwamba hamjambo kabisa.

Nafikiria kuanzisha mini super market hapa mjini. Sasa kikubwa nachoomba kwa wenye uzoefu na uelewa wanipe abcd kidogo kuhusu biashara hii.

mfano;

1. Changamoto zake na uzuri wake
2. Namna bora ya kuiendesha biashara hii
3. Suppliers wa bidhaa za biashara yenyewe n.k

4. Makadirio ya mtaji na ziada. (Ingawa tayari nimejipanga na 20M+)

Tafadhali naomba mawazo mazuri na ya kusaidiana ili tujenge taifa.

Asanteni sana.

~Jodeo ~
Wewe anzisha tu, yote utayajuwa ukishaanzisha.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom