Nafikiria kuandaa Chakula cha usiku kwa wana Chit Chat tujumuike pamoja

We toa code number tangaza bar watu wakifika kaunta wanachukua beer kwa kutumia code ,watakuja kukushukuru humu


It is never too late to begin. Start now

hapana sio nzuri
Si ntawatonya na wanangu
Mkienda bia zimeisha, Labda asiweke limit ya idadi za bia
 
  1. Tunakusihi jitahidi kuosha mikono kwa maji safi na sabuni mara kwa mara
  2. Kwa siku chache hizi jaribu kutulia nyumbani kuepusha maambukizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom