Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,746
Nadhani kwa wana CHIT-CHAT mliopo hapa dar hii itakua poa sana.
Napanga siku niandae chakula cha usiku, vinywaji pamoja na muziki wana chitchat wote mje tujumuike kama marafiki .
Mnaonaje wazo langu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Napanga siku niandae chakula cha usiku, vinywaji pamoja na muziki wana chitchat wote mje tujumuike kama marafiki .
Mnaonaje wazo langu?
Sent using Jamii Forums mobile app