Sifa ya kuwa rais bora ni kuwa pro active na siyo reactive
Rais jk ni mtu mzito sana kufanya maamuzi magumu kwa wakati na siku zote maamuzi yake yanategemea namna gani watu wengine wanafanya na ni mtu reactive badala ya kuwa pro active. Naamini ili uweze kuwa rais mzuri ni lazima uwe na uwezo wa kutumia uzoefu elimu na kipawa chako kuweza kufanya maamuzi kwa wakati kwa sababu kazi ya urais sometimes you have to make a decision in split of second kwa maana maisha ya watu yanakuwa hatarini.
Uzito wa kufanya maamuzi unaigharimu sana nchi yetu nitatumia mifano ifuatayo:
Ulipotokea mgomo wa madaktari hakuchukua hatua za haraka mpaka presha ya wananchi ilipoongozeka ndipo alipokutana na madaktari hao wakati watanzania wengi walishapoteza maisha yao un necessarily mpk leo sielewi kwanini alichelewa vile??
Mgomo wa wafanyakazi the same thing watu wengi walipata hasara mpk shinikizo la watu kutaka hakutane na wafanyakazi hao ndio likaja kumaliza au kupunguza makali.
Suala la mgogoro wa katiba zanzibar ya mwaka 2010, leo hii nchi ipo kwenye mgongano wa katiba na zanzibar kwa sababu ya jk kwa sababu ya kuamua kwa makusudi kabisa to put his head in the sand. kwanini nasema hivyo nakumbuka mijadala mikali ilikuwa ikiendelea kwy TV nae akiwa anaona huko zanzibar jinsi katiba unavyovunjwa hakukemea wala kufanya ambayo hii ni his constitutional duty kuilinda katiba ya nchi.
Kwenye hili suala la ESCROW ACCOUNT ili JK afanye maamuzi mazito na BORA kuna haja ya watu kuingia barabarani ili kumuamsha usingizini mzito pale magogoni bila hivyo anaweza kuvaa miwani za mbao kujifanya hajui kinachoendelea.
Kwanini nasema kuna haja ya kumuamsha Rais usingizini?
hivi sasa nchi nzima iko kwenye tension kubwa kuangalia ni hatua gani zitachukuliwa juu ya kodi za wananchi zilizoibiwa na maofisa wake ambao wengi ni marafiki zake sasa kitendo chake cha kukaa kinaigharimu nchi kwani nchi iko kwenye tension kubwa na hasa kutojulikana hatima ya hawa wausika wa escrow kunaleta kiwingu kikubwa ambacho hakina sababu kwani yeye anazo taarifa za kutosha kuweza kufanya haitendei haki nchi kwa kukaa na bila kulimaliza kwahiyo naamini kuna haja ya kufanya maandamano makubwa kumuamsha usingizini.
Double standard ktk kufanya maamuzi(selective outrage)
wafanyakazi waliandamana kudai maslahi zaidi jk aliiita wazee wa jiji na kuonyesha na kutoa lugha kali za vitisho kwa wafanyakazi wakati madai yao ni ukweli na halali, leo hii mabilioni ya watanzania yameibiwa mchana kweupe amejifungia ikulu na wala ule ukali haupo hata wazee wa jiji hataki hata kuwaona kwani issue inawahusu marafiki zake wa karibu. mtakaodai dai anaitaji muda zaidi bunge lilipokea ripoti baada ya muda mfupi likafanya maamuzi, yeye urais ni taasisi kubwa alipata ripoti kabla ya kwenda kutibiwa USA hakusema kitu amerudi ameikalia ripoti ikulu hakuna maamuzi mnawezaje kusingizia muda au anajaribu kupima mood ya watanzania ili awalinde marafiki zake??
Rais jk ni mtu mzito sana kufanya maamuzi magumu kwa wakati na siku zote maamuzi yake yanategemea namna gani watu wengine wanafanya na ni mtu reactive badala ya kuwa pro active. Naamini ili uweze kuwa rais mzuri ni lazima uwe na uwezo wa kutumia uzoefu elimu na kipawa chako kuweza kufanya maamuzi kwa wakati kwa sababu kazi ya urais sometimes you have to make a decision in split of second kwa maana maisha ya watu yanakuwa hatarini.
Uzito wa kufanya maamuzi unaigharimu sana nchi yetu nitatumia mifano ifuatayo:
Ulipotokea mgomo wa madaktari hakuchukua hatua za haraka mpaka presha ya wananchi ilipoongozeka ndipo alipokutana na madaktari hao wakati watanzania wengi walishapoteza maisha yao un necessarily mpk leo sielewi kwanini alichelewa vile??
Mgomo wa wafanyakazi the same thing watu wengi walipata hasara mpk shinikizo la watu kutaka hakutane na wafanyakazi hao ndio likaja kumaliza au kupunguza makali.
Suala la mgogoro wa katiba zanzibar ya mwaka 2010, leo hii nchi ipo kwenye mgongano wa katiba na zanzibar kwa sababu ya jk kwa sababu ya kuamua kwa makusudi kabisa to put his head in the sand. kwanini nasema hivyo nakumbuka mijadala mikali ilikuwa ikiendelea kwy TV nae akiwa anaona huko zanzibar jinsi katiba unavyovunjwa hakukemea wala kufanya ambayo hii ni his constitutional duty kuilinda katiba ya nchi.
Kwenye hili suala la ESCROW ACCOUNT ili JK afanye maamuzi mazito na BORA kuna haja ya watu kuingia barabarani ili kumuamsha usingizini mzito pale magogoni bila hivyo anaweza kuvaa miwani za mbao kujifanya hajui kinachoendelea.
Kwanini nasema kuna haja ya kumuamsha Rais usingizini?
hivi sasa nchi nzima iko kwenye tension kubwa kuangalia ni hatua gani zitachukuliwa juu ya kodi za wananchi zilizoibiwa na maofisa wake ambao wengi ni marafiki zake sasa kitendo chake cha kukaa kinaigharimu nchi kwani nchi iko kwenye tension kubwa na hasa kutojulikana hatima ya hawa wausika wa escrow kunaleta kiwingu kikubwa ambacho hakina sababu kwani yeye anazo taarifa za kutosha kuweza kufanya haitendei haki nchi kwa kukaa na bila kulimaliza kwahiyo naamini kuna haja ya kufanya maandamano makubwa kumuamsha usingizini.
Double standard ktk kufanya maamuzi(selective outrage)
wafanyakazi waliandamana kudai maslahi zaidi jk aliiita wazee wa jiji na kuonyesha na kutoa lugha kali za vitisho kwa wafanyakazi wakati madai yao ni ukweli na halali, leo hii mabilioni ya watanzania yameibiwa mchana kweupe amejifungia ikulu na wala ule ukali haupo hata wazee wa jiji hataki hata kuwaona kwani issue inawahusu marafiki zake wa karibu. mtakaodai dai anaitaji muda zaidi bunge lilipokea ripoti baada ya muda mfupi likafanya maamuzi, yeye urais ni taasisi kubwa alipata ripoti kabla ya kwenda kutibiwa USA hakusema kitu amerudi ameikalia ripoti ikulu hakuna maamuzi mnawezaje kusingizia muda au anajaribu kupima mood ya watanzania ili awalinde marafiki zake??