Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,606
Naona tuige Kenya au Uganda, tuwe makini na kiingereza kwani ni lugha ya dunia. Tupo nyuma kielimu kwa sababu hatukutilia maanani kiingereza.
Aise hapo ni typing error mkuuKweli kabisa asee lakini na wewe jitahidi kiswahili kdg, wanakariri
Yaani kama ndio hivyo, bas English language should start from primary school in all subjects.Naona tuige Kenya au Uganda, tuwe makini na kiingereza kwani ni lugha ya dunia. Tupo nyuma kielimu kwa sababu hatukutilia maanani kiingereza.
That's typing error, tumeshazoea kuchapisha lugha ya malaika.Kweli kabisa asee lakini na wewe jitahidi kiswahili kdg, wanakariri
Nakumbuka hata tukiwa secondary school kuna watu wengi walipata F za Kiswahili hawaelewi maana ya kiwakilishi, kitenzi sijui mashairi ,Mimi nilikua nafikiri kiingereza kingekua ni somo la kawaida kutoka shule ya Msingi mpaka Chuo kikuu.
Alafu masomo mengine yote kuanzia shule ya Msingi mpaka chuo kikuu yangefundishwa kwa kiswahili.
Ila katika upande wa Kiingereza tungehakikisha kinakua ni kile kiingereza kigumu ambacho na kwenye sayansi kinatumika.
Mtoto akifaulu kwenda kidato cha sita ajifunze kiingereza kile chenye terminologies za masomo anayosomea na chuo nako iwe hivyo hivyo.
Nadhani hapo watanzania wangeweza kuelewa vizuri sana kile wanachokisomea.
Wakuu ni mawazo tu lakini maana lugha inaweza kufanya kitu kuwa rahisi.
Wanafunzi wengi wanakalili kwasababu hawaielewi lugha ya kiingereza.
Mfano mwanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka mzima hupotea kwakuzikalili definition na importance hakuna chochote ambacho huwa wanaelewa pale zaidi ya kukalili.
Sasa huyu mwanafunzi angeendelea kusoma bayolijia ya kidato cha kwanza kwa lugha ya kiswahili unadhani angekuwaje.
Kama kuna nyongeza karibuni.
Vipi shule ya msingi ulikuwaje zile maarifa ya jamii. Umeingia secondary umeishia kushika point tu. Wakati ilitakiwa usome maelezo yote general na uyaelewe.Nakumbuka hata tukiwa secondary school kuna watu wengi walipata F za Kiswahili hawaelewi maana ya kiwakilishi, kitenzi sijui mashairi ,