Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,480
- 30,152
Zimetolewa hadharani kwa kila mtanzania mwenye sifa, aombe nafasi hizo za muda za kusimamia uchaguzi hapo October 28 mwaka huu, lakini taarifa za uhakika nilizozipata ni kuwa nafasi hizo muhimu, ambazo ni za watanzania wote, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, hivi sasa hawa CCM, wamepanga kuwaweka makada wao wa CCM.
Mpango wa siri ulioandaliwa ni kuwa wajumbe wa CCM wa matawi mbalimvali nchini, wamepenyezewa taarifa za wao ndiyo wawalete hao makada wa CCM, ili wapitishwe.
Kwa maana nyingine ni kuwa ingawa hizo nafasi zimetangazwa "publically" lakini hakuna atakayeomba hata mmoja, ambaye hafahamiki itikadi yake, atakayepewa nafasi hizo, Bali hizo nafasi zimetengwa maalum kwa makada wa CCM pekee, ambao ndiyo watakaoonekana kiwa wame-qualify na kupewa nafasi hizo
Inaonekana dhahiri kuwa kwa mpango huo "mchafu" uliopangwa na hao NEC, ni kuwa wana mpango wa kuuvuruga uchaguzi huu
Mpango wa siri ulioandaliwa ni kuwa wajumbe wa CCM wa matawi mbalimvali nchini, wamepenyezewa taarifa za wao ndiyo wawalete hao makada wa CCM, ili wapitishwe.
Kwa maana nyingine ni kuwa ingawa hizo nafasi zimetangazwa "publically" lakini hakuna atakayeomba hata mmoja, ambaye hafahamiki itikadi yake, atakayepewa nafasi hizo, Bali hizo nafasi zimetengwa maalum kwa makada wa CCM pekee, ambao ndiyo watakaoonekana kiwa wame-qualify na kupewa nafasi hizo
Inaonekana dhahiri kuwa kwa mpango huo "mchafu" uliopangwa na hao NEC, ni kuwa wana mpango wa kuuvuruga uchaguzi huu