Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,068
Kinachoendelea ktk Nchi hii kuhusu Viongozi wa MASHIRIKA ya UMMA ni KAA la MOTO
USHAURI kwa SERIKALI yetu
Tuachane na Utaratibu wa TEUZI kwa VIONGOZI
wa MASHIRIKA badala yake VIONGOZI hao wapatikane kwa NAFASI hizo KUTANGAZWA ili WATANZANIA wenye SIFA nzuri Waziombe Badala ya Mtindo wa Sasa wa KUWATEUA.
Mfano Mkubwa Tunaona Jinsi UONGOZI wa BANDARI na TRA unavyosumbua TEUZI kila KUKICHA
USHAURI kwa SERIKALI yetu
Tuachane na Utaratibu wa TEUZI kwa VIONGOZI
wa MASHIRIKA badala yake VIONGOZI hao wapatikane kwa NAFASI hizo KUTANGAZWA ili WATANZANIA wenye SIFA nzuri Waziombe Badala ya Mtindo wa Sasa wa KUWATEUA.
Mfano Mkubwa Tunaona Jinsi UONGOZI wa BANDARI na TRA unavyosumbua TEUZI kila KUKICHA