Nafasi za masomo Mkwajuni Sekondari

kamanga2016

JF-Expert Member
Apr 5, 2016
652
501
Tangazo la nafasi za masomo kwa mwaka wa masomo 2017, mkwajuni sekondari

Shule ya sekondari mkwajuni, inatangaza nafasi za masomo kwa mwaka wa masomo 2017 kama ifuatavyo;
1. Kidato cha kwanza
2. Kuhamia kidato cha pili, tatu, na nne
3. Kuhamia kidato cha tano katika combination zifuatazo;
hgl, hge, hgk, egm, hkl & cbg,pcb,pcm

Mawasliano zaidi piga simu 0766721496/0744708354.
 
Back
Top Bottom