mfate42 JF-Expert Member Nov 16, 2014 3,768 4,259 May 23, 2021 #1 Kwa mwaka Jana Hali ilikuwa tofaut kidogo, post zilitoka mapema sana.ila mwaka huu mambo ni tofaut kabisa. Hadi mdahuu no posts. Kitu gan kinakwamisha?
Kwa mwaka Jana Hali ilikuwa tofaut kidogo, post zilitoka mapema sana.ila mwaka huu mambo ni tofaut kabisa. Hadi mdahuu no posts. Kitu gan kinakwamisha?
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,917 122,172 May 24, 2021 #3 Nchi bado inaendelea kusafishwa tuwe na subira
M Mr_Teacher JF-Expert Member Feb 28, 2021 362 334 May 25, 2021 #5 Nafkiri June mwanzon zitakua tayari
B bloggerboy JF-Expert Member Nov 13, 2017 568 1,211 May 26, 2021 #6 mfate42 said: Kwa mwaka Jana Hali ilikuwa tofaut kidogo, post zilitoka mapema sana.ila mwaka huu mambo ni tofaut kabisa. Hadi mdahuu no posts. Kitu gan kinakwamisha? Click to expand... Umetumia kigezo gani kusema zimechelewa
mfate42 said: Kwa mwaka Jana Hali ilikuwa tofaut kidogo, post zilitoka mapema sana.ila mwaka huu mambo ni tofaut kabisa. Hadi mdahuu no posts. Kitu gan kinakwamisha? Click to expand... Umetumia kigezo gani kusema zimechelewa