Nafasi za kujiunga na Kidato cha Tano Mbozi High School

kamanga2016

JF-Expert Member
Apr 5, 2016
652
501
  • Ni shule ya day na boarding inachukua wanafunzi wa combinations za HGL, HGK NA HKL, ni shule ya kikristo na inatoa huduma pasipo na kubagua dini, ada yake ni nafuu kwa maelezo zaid npm
 
Hujasema ipo wapi, ada sh ngapi, na kunogesha zaidi ungetupa hints za matokeo yaliyopita shule ilifanya vipi?
 
Shule ipo mkoa mpya wa songwe ni km 2 kutoka main road ya kwenda Zambia, ada ni mil. 1.2 kwa mwaka na hiyo ni kwa boarding wakati day ni nusu ya hiyo kias pia unaweza kulipa kwa awamu kulingana na kipato chako mzazi , matokeo ya mwaka juzi wote walifaulu kwa daraja la kwanza na la pili, kwa mwaka huu mategemeo ni makubwa, karibu sana mkuu
 
Back
Top Bottom