Christopher Haule 255
Member
- Mar 10, 2021
- 22
- 26
Habarini wanajamvi samahan wazee nilikuwa nauliza kwa anaefahamu nafasi za JKT kwakujitolea huwaga zinatangazwa mwezi wa ngapi?
Asanteni..
Asanteni..
kwahyo watu waende kulima sioMuda wa kilimo ukikaribia
Duh kwel sio pow aiseNchi haina hela ,wameshaahilisha zoezi
kwahyo watu waende kulima sio
Daah mwaka huu haielewekiHabarini wanajamvi samahan wazee nilikuwa nauliza kwa anaefahamu nafasi za JKT kwakujitolea huwaga zinatangazwa mwezi wa ngapi?
Asanteni..
Habarini wanajamvi samahan wazee nilikuwa nauliza kwa anaefahamu nafasi za JKT kwakujitolea huwaga zinatangazwa mwezi wa ngapi?
Asanteni..
Kuna mtu ameniambia muda wowte mwingine kasema mbka mwez wa tatu sa sijui lipi ni lipiDaah mwaka huu haieleweki
Mtaan hapasomeki aise acha nisikilizie sijui ni liniunaitaji kupoteza mda !.......
Dah m nmechoka kusubiri aiseeNdio wakalime
Mtaan hapasomeki aise acha nisikilizie sijui ni lini
Ko hmna jamboNaona unataka kwenda kujiraaaa
Hatar bablai kwahyo bado haifahamiki nafasi zitatoka mwez wa ngapJakata ni noma mazeee!!!
Sio kwa mzik ule!!!!!..
Doso la kutosha!!
Kilimo Cha mkolon kilipo mpka leo:
Kipawatila Cha jeshi!!!
Nyumban kwao maovyoovyo!!
Maisha ya stress kuwaza mabogi ukiwa service:
N.B
Ukitoka j.k.t wa Moto...kwingine ni kuangushia tu..hata JW!../
Darasa LA saba na form four wajieandae mn mwakajn form six ,deproma na degree waliludishwa cjui mwaka huu itakuajeJamani mwaka huu zinatoka mwezi wa ngapi??
Na nataka niombe kama wa diploma ina one kanapenda pamekuwa pagumu hukoDarasa LA saba na form four wajieandae mn mwakajn form six ,deproma na degree waliludishwa cjui mwaka huu itakuaje
Inawezekana mbonaNa nataka niombe kama wa diploma ina one kanapenda pamekuwa pagumu huko