Nafasi za Kazi

wooden flag

JF-Expert Member
Oct 12, 2014
969
1,944
I hope it is well with you

Kampuni ya Ujenzi na Telecom ya vijana wazalendo wa kitanzania ambayo inatoa huduma zenye ubora wa hali ya juu inapenda kuwatangazia nafasi za kazi kama ifuatavyo

1. Receptionist.
Nafasi 1.
Umri usiozidi miaka 25
Awe na angalau certificate in front office operations/customer care

2. Accountant.
Nafasi 1
Awe na Diploma/degree in accountancy, finance toka kwenye taasisi inayotambulika
Uzoefu mwaka (1) na kuendelea

3. Civil Engineer.

Nafasi 2

Uzoefu Mwaka 1. na kuendelea

4. Telecom Engineer

Nafasi 1

Uzoefu mwaka 1 na kuendelea

Mwisho wa kupokea maombi ni 15 June 2017

Maombi yatumwe kwenye email

ndotohutimia@gmail.com

All the best.

UPDATE

Asanteni Sana kwa walio respond kwenye tanzazo hili, maombi ni mengi. Tunashukuru

Mchujo mkali umeanza kufanyika. May the most qualified and luckiest person get the job

Hatapendelewa mtu, hata onewa mtu.

Long live JF
 
I hope it is well with you

Kampuni ya Ujenzi na Telecom ya vijana wazalendo wa kitanzania ambayo inatoa huduma zenye ubora wa hali ya juu inapenda kuwatangazia nafasi za kazi kama ifuatavyo

1. Receptionist.
Nafasi 1.
Umri usiozidi miaka 25
Awe na angalau certificate in front office operations/customer care

2. Accountant.
Nafasi 1
Awe na Diploma/degree in accountancy, finance toka kwenye taasisi inayotambulika
Uzoefu mwaka Nyoka (1)

3. Civil Engineer.

Nafasi 2

Uzoefu Mwaka 1.

4. Telecom Engineer

Nafasi 1

Uzoefu mwaka 1

Mwisho wa kupokea maombi ni 15 June 2017

Maombi yatumwe kwenye email

ndotohutimia@gmail.com

All the best.
Hapo kwenye uzoefu wa Nyoka 1 mbona ni shida!
wengine tunauzoefu na majoka mengi sana.
 
Hapo kwenye uzoefu wa Nyoka 1 mbona ni shida!
wengine tunauzoefu as majoka mengi sana.
Nadhani ni mwaka 1


I hope it is well with you

Kampuni ya Ujenzi na Telecom ya vijana wazalendo wa kitanzania ambayo inatoa huduma zenye ubora wa hali ya juu inapenda kuwatangazia nafasi za kazi kama ifuatavyo

1. Receptionist.
Nafasi 1.
Umri usiozidi miaka 25
Awe na angalau certificate in front office operations/customer care

2. Accountant.
Nafasi 1
Awe na Diploma/degree in accountancy, finance toka kwenye taasisi inayotambulika
Uzoefu mwaka Nyoka (1)

3. Civil Engineer.

Nafasi 2

Uzoefu Mwaka 1.

4. Telecom Engineer

Nafasi 1

Uzoefu mwaka 1

Mwisho wa kupokea maombi ni 15 June 2017

Maombi yatumwe kwenye email

ndotohutimia@gmail.com

All the best.
 
I hope it is well with you

Kampuni ya Ujenzi na Telecom ya vijana wazalendo wa kitanzania ambayo inatoa huduma zenye ubora wa hali ya juu inapenda kuwatangazia nafasi za kazi kama ifuatavyo

1. Receptionist.
Nafasi 1.
Umri usiozidi miaka 25
Awe na angalau certificate in front office operations/customer care

2. Accountant.
Nafasi 1
Awe na Diploma/degree in accountancy, finance toka kwenye taasisi inayotambulika
Uzoefu mwaka (1) na kuendelea

3. Civil Engineer.

Nafasi 2

Uzoefu Mwaka 1. na kuendelea

4. Telecom Engineer

Nafasi 1

Uzoefu mwaka 1 na kuendelea

Mwisho wa kupokea maombi ni 15 June 2017

Maombi yatumwe kwenye email

ndotohutimia@gmail.com

All the best.
Hizi kazi mlishaanza kuita watu?
 
Huwa mnakosea sana kuitaji watu ambao wana uzoefu, mnataka hawa wasio na uzoefu waupate wapi?? Huwa mnakatisha sana
 
Huwa mnakosea sana kuitaji watu ambao wana uzoefu, mnataka hawa wasio na uzoefu waupate wapi?? Huwa mnakatisha sana
Imagine una project ya ujenzi wa Minara ya kampuni Fulani halafu unampeleka mtu kwenda kujifunza kazi bila wazoefu, utakuwa unachekesha tu (wapo wachache wanaoweza lakini risk ni kubwa sana)

Ni lazima wawepo wenye uzoefu na kama mwenye kuhitaji kujifunza akikubali kwenda site apewe hela ya kujikimu akiwa Site poa (tatizo la sasa mtu ukimpeleka site anaona unamtesa)

Kwa wasio kuwa na uzoefu, zipo namna nyingi tu za kupata uzoefu, binafsi niliwahi kujitolea sehemu kwa miezi karibia nane bila malipo yoyote, hapo nikawa najifunza kazi na jinsi ya kuendesha kampuni.
 
Imagine una project ya ujenzi wa Minara ya kampuni Fulani halafu unampeleka mtu kwenda kujifunza kazi bila wazoefu, utakuwa unachekesha tu (wapo wachache wanaoweza lakini risk ni kubwa sana)

Ni lazima wawepo wenye uzoefu na kama mwenye kuhitaji kujifunza akikubali kwenda site apewe hela ya kujikimu akiwa Site poa (tatizo la sasa mtu ukimpeleka site anaona unamtesa)

Kwa wasio kuwa na uzoefu, zipo namna nyingi tu za kupata uzoefu, binafsi niliwahi kujitolea sehemu kwa miezi karibia nane bila malipo yoyote, hapo nikawa najifunza kazi na jinsi ya kuendesha kampuni.
Upo sahihi kama izi kazi za tower afu ukute ni za sola ukimpeleka MTU sio mjuzi atafanya utumbo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom