Tabora yetu
Senior Member
- Sep 13, 2014
- 139
- 21
Kampuni ya Britam ; ilitangaza nafasi za kazi hapa Tabora mjini, pamoja na maswala mengine kampuni hii toka jana na leo imeanza kuwajibu waombaji,kuwa wanatakiwa waje na vyeti na Cvs zao , semina na maelekezo ya kazi ni tarehe 23-12-2016 milambo sekondari tabora mjini saa 4:00 asubuhi ila britam wanataka kila mwombaji atume tsh 13000 kwa mpesa no.0766287427. kwa ajiri ya gharama za vitambulisho . Suala ni kwamba hakutakuwa na utapeli hapo?. msaada na ushauri wenu.