Alvin John
Member
- Mar 27, 2018
- 56
- 25
Habari wakubwa! Kikundi cha wanateknolojia kilichopo Dar es salaam kinatoa nafasi za kazi kwa freelancers popote pale hata nje ya nchi. Hakuna ajira isiyokuwa na changamoto ila ukifanya kazi kwa bidii utapata kipato kizuri na uzuri ni kwamba unaweza fanyia kazi hizi popote hata ukiwa nyumbani kwako.