Nafasi za Kazi ya Uhandisi mwisho tarehe 25/3/2012

Yeccotltd

JF-Expert Member
Apr 4, 2011
201
21
NEMBO YA YECCO.jpg


Kampuni yako ya Kizalendo ya YECCO (T) LTD ishughulikayo na Building & Civil Contractor, Electrical Contractor & IT. inatangaza nafasi za kazi ya uhandisi:

Sifa:
A) Awe amehitimu elimu ya Building, Civil, Electrical and IT kuanzia ktk ngazi ya Advance Diploma na kuendelea,

B) Awe amehitimu ktk chuo kinachotambuliwa kitaifa na kimataifa,

C) Kwa Electrical awe na leseni ya EWURA.

D) Awe na elimu ya ya utangulizi ya kompyuta.

E) Asiwe aliwahi kuwa Technical Director ktk kampuni yoyote CRB


Maombi ya tumwe kwa anwani ya kimtandando yeccotltd@yahoo.com , au kufika ofisi zetu zilizopo mtaa wa Samora,Posta, Dar es salaam, Tanzania, Coronation House,Ghorofa ya pili, jirani na Baraza Kiswahili.

Bila kusahau CV yenye kopi ya vyeti vya taaluma yako, cha zaliwa na Picha mbili za pasipoti ktk maombi hayo!

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 25/5/2012​
 


Kampuni yako ya Kizalendo ya YECCO (T) LTD ishughulikayo na Ukandarasi wa Building, Civil, Electrical and IT inatangaza nafasi za kazi ya uhandisi :

Sifa:
A) Awe amehitimu elimu ya Building, Civil, Electrical and IT kuanzia ktk ngazi ya Advance Diploma na kuendelea,
B) Awe amehitimu ktk chuo kinachotambuliwa kitaifa na kimataifa,
C) Awe na leseni ya EWURA na
D) Awe na elimu ya ya utangulizi ya kompyuta.
E) Asiwe aliwahi kuwa Technical Director ktk kampuni yoyote CRB
Maombi ya tumwe kwa anwani ya kimtandando yeccotltd@yahoo.com , au kufika ofisi zetu zilizopo mtaa wa Samora,Posta, Dar es salaam, Tanzania, Coronation House,Ghorofa ya pili, jirani na Baraza Kiswahili.
Bila kusahau kopi ya cheti cha kuzaliwa na Picha mbili za pasipoti ktk maombi hayo!

Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 25/3/2012

Mkuu,maelezo yako hayajajitosheleza,kampuni yenu ni class gani?
Wahandisi mnaowahitaji ni wa aina gani?Kuna Graduate registered Engineer na Proffessional Registered Engineer au Engineer based on Experience.Fafanua.
Hapo kwenye nyekundu,wahandisi hatuna leseni za EWURA ila kuna vyeti vya usajili vya ERB.
 
Kuna Graduate registered Engineer na Proffessional Registered Engineer au Engineer based on Experienc................kuna vyeti vya usajili vya ERB.

Mkuu Nashukuru ila kwa msaada wa wengine ambao tunapenda kuwa na knowledge tofauti haswa ya classes kwa jinsi ulivyo-oanisha hapo juu ni nini? Je ERB katika professionalism inahusikaje?

I just wanted to know Mkuu
 
Mkuu Nashukuru ila kwa msaada wa wengine ambao tunapenda kuwa na knowledge tofauti haswa ya classes kwa jinsi ulivyo-oanisha hapo juu ni nini? Je ERB katika professionalism inahusikaje?

I just wanted to know Mkuu

Mkuu Lasikoki,
ERB ni kifupi cha Engineers Registration Board,kwa kiswahili ni bodi ya usajili wa wahandisi hapa Tanzania.Ili mtu yeyote aweze kufanya kazi za taaluma ya uhandisi ni lazima awe amesomea na kusajiliwa na bodi tajwa hapo juu.Unapohitimu shahada ya uhandisi unatakiwa ujisajili kwenye bodi ambako utajulikana kama graduate engineer,baada ya miaka mitatu au zaidi ya ufanyaji wa kazi za fani yako unatakiwa uandike ripoti ambayo inapitiwa na wataalamu wa bodi ndipo wanaweza kukusajili kama Proffessiona Engineer.Nilipoandika Engineer based on experience nilimaanisha wale senior technicians ambao wapo kwenye fani muda mrefu na wamekua wakifanya kazi za wahandisi na wengine wamekua wakijiita Wahandisi.Ila ukweli ni kwamba ili uitwe mhandisi lazima uwe na shahada.Nadhani utakua umenielewa.
 
Mkuu,maelezo yako hayajajitosheleza,kampuni yenu ni class gani?
Wahandisi mnaowahitaji ni wa aina gani?Kuna Graduate registered Engineer na Proffessional Registered Engineer au Engineer based on Experience.Fafanua.
Hapo kwenye nyekundu,wahandisi hatuna leseni za EWURA ila kuna vyeti vya usajili vya ERB.

Asante kwa ushauri tumerekebisha na kuainisha vema wataalamu tunaowahitaji, tupo class 7
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom