Yeccotltd
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 201
- 21
Kampuni yako ya Kizalendo ya YECCO (T) LTD ishughulikayo na Building & Civil Contractor, Electrical Contractor & IT. inatangaza nafasi za kazi ya uhandisi:
Sifa:
A) Awe amehitimu elimu ya Building, Civil, Electrical and IT kuanzia ktk ngazi ya Advance Diploma na kuendelea,
B) Awe amehitimu ktk chuo kinachotambuliwa kitaifa na kimataifa,
C) Kwa Electrical awe na leseni ya EWURA.
D) Awe na elimu ya ya utangulizi ya kompyuta.
E) Asiwe aliwahi kuwa Technical Director ktk kampuni yoyote CRB
Maombi ya tumwe kwa anwani ya kimtandando yeccotltd@yahoo.com , au kufika ofisi zetu zilizopo mtaa wa Samora,Posta, Dar es salaam, Tanzania, Coronation House,Ghorofa ya pili, jirani na Baraza Kiswahili.
Bila kusahau CV yenye kopi ya vyeti vya taaluma yako, cha zaliwa na Picha mbili za pasipoti ktk maombi hayo!
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 25/5/2012