Zambotti
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,961
- 3,592
Natafuta walimu wawili tu, wawe na uwezo wa kufundisha primary level masomo ya science, mathematics na social studies kuanzia class three mpaka seven. Shule ni English medium iko kivule, Ilala Dar es salaam.
Muombaji na uwezo wa kuongea, kuandika na kuzungumza kiingereza. Awe amesoma ualimu kwa ngazi ya diploma au degree.
Muombaji akitokea maeneo ya Kitunda, Banana, au Ukonga Mombasa itapendeza zaidi. Fanya tuwasiliane, kesho uje ufanye interview.
Shule ni ya dini ya kiislamu Muombaji awe muislamu ili kuepusha migongano ya itikadi.
Nipigie 0628368636.
Muombaji na uwezo wa kuongea, kuandika na kuzungumza kiingereza. Awe amesoma ualimu kwa ngazi ya diploma au degree.
Muombaji akitokea maeneo ya Kitunda, Banana, au Ukonga Mombasa itapendeza zaidi. Fanya tuwasiliane, kesho uje ufanye interview.
Shule ni ya dini ya kiislamu Muombaji awe muislamu ili kuepusha migongano ya itikadi.
Nipigie 0628368636.