Pape
JF-Expert Member
- Dec 11, 2008
- 5,489
- 79
http://udsm.ac.tz/store/2010-2-12-13-53-56_tangazo-replacement positions-academic,2010-2.pdf
Deadline 3 weeks from 12February 2010
Deadline 3 weeks from 12February 2010
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wametangaza kutimiza Wajibu but wamesha ajiri hao watu...co mi wala sijisumbui kuomba..coz nimeambiwa Kuna vijana wawiliwaliomaliza Mwaka jana tayari wamepata chance baadhi ya Department....sasa niombe nini....Wizi mtupuuuu.....http://udsm.ac.tz/store/2010-2-12-13-53-56_tangazo-replacement positions-academic,2010-2.pdf
Deadline 3 weeks from 12February 2010
Wametangaza kutimiza Wajibu but wamesha ajiri hao watu...co mi wala sijisumbui kuomba..coz nimeambiwa Kuna vijana wawiliwaliomaliza Mwaka jana tayari wamepata chance baadhi ya Department....sasa niombe nini....Wizi mtupuuuu.....
hilo nalo neno!Mkuu iwapo una ushahidi kuwa watu walishaajiriwa kwenye hizo nafasi (zote) kabla ya kutoa hili tangazo la ajira ingekuwa vyema kama ungetuwekea hapa jamvini. Ndiyo maana ya kuwa ''greti thinka''. Vinginevyo usiwakatishe wengine tamaa bila sababu.
Pole! We endelea kugonga kokoto tegeta maweni au kubeba magunia kariakoo!Wametangaza kutimiza Wajibu but wamesha ajiri hao watu...co mi wala sijisumbui kuomba..coz nimeambiwa Kuna vijana wawiliwaliomaliza Mwaka jana tayari wamepata chance baadhi ya Department....sasa niombe nini....Wizi mtupuuuu.....
at hivo GPA yangu inakidhi kama hao ma proffesso wangesubiri////....
Wametangaza kutimiza Wajibu but wamesha ajiri hao watu...co mi wala sijisumbui kuomba..coz nimeambiwa Kuna vijana wawiliwaliomaliza Mwaka jana tayari wamepata chance baadhi ya Department....sasa niombe nini....Wizi mtupuuuu.....
Mkuu watu wana GPA 3.8 lakini wanasota mtaani! Tunaosha nao magari manzese!Ukiwa na GPA kuanzia 3.8 we apply tu any time dont mind that deadline
academic staff hawapatikani kirahisi, wengi wanapenda kwenye kwenye industry