tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 11,809
- 15,059
utumishi hawaangalii GPA ,hata mwenye 2.0 anaitwa kwa interviewInaezekana mana nasikiaga huku sehemu wanazingatia sana GPA,tuanzie hapa kwanza tutajua tu ,kuna mtu system imemkatalia kupply na ana GPA ya kuanzia upper second?
Sent using Jamii Forums mobile app