Adimu
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 655
- 283
Habarini mabibi na mabwana!
Kuna nafasi mbali mbali za tanesco zilitolewa mwezi november mwaka jana kupitia utumishi, kuna yeyote mwenye tetesi kama majina ya interview yametoka au yatatoka lini? maana naskia walishaitwa je ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nafasi mbali mbali za tanesco zilitolewa mwezi november mwaka jana kupitia utumishi, kuna yeyote mwenye tetesi kama majina ya interview yametoka au yatatoka lini? maana naskia walishaitwa je ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app