Ova
Member
- Feb 18, 2017
- 46
- 31
Kampuni ya simu ya airtel inahitaji vijana wa kike na wa kiume kwa kazi tajwa hapo juu.
-Kutafuta masoko na kuuza line za simu za airtel.
-Umri kuanzia miaka 20 na kuendelea.
-Uwe na uwezo wa kutumia smartphone na uwe nayo.
-Uwe mchangamfu na mwenye kujituma.
-Ukifika ofisini utaelezwa malipo yanavyokuwa na mshahara kwa ujumla.
-Uwe unaishi dar es salaam.
Maelekezo na mawasiliano zaidi piga simu:-0683 374987
Karibu Sana.
-Kutafuta masoko na kuuza line za simu za airtel.
-Umri kuanzia miaka 20 na kuendelea.
-Uwe na uwezo wa kutumia smartphone na uwe nayo.
-Uwe mchangamfu na mwenye kujituma.
-Ukifika ofisini utaelezwa malipo yanavyokuwa na mshahara kwa ujumla.
-Uwe unaishi dar es salaam.
Maelekezo na mawasiliano zaidi piga simu:-0683 374987
Karibu Sana.