kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,495
- 12,593
okMtu mwenye nidhamu hajisifu lasivyo ni nidhamu ya kuigiza na maonesho... Poor kyagata
okMtu mwenye nidhamu hajisifu lasivyo ni nidhamu ya kuigiza na maonesho... Poor kyagata
Hajajisifu ameongea ukweli labda kama hujapenda tu kusikia ukweli, ila sijaona kujisifu hapoMtu mwenye nidhamu hajisifu lasivyo ni nidhamu ya kuigiza na maonesho... Poor kyagata
Jamani nafasi bado zipo 5 kwa anayehitajiKampuni ya simu ya airtel inahitaji vijana wa kike na wa kiume kwa kazi tajwa hapo juu.
-Kutafuta masoko na kuuza line za simu za airtel.
-Umri kuanzia miaka 20 na kuendelea.
-Uwe na uwezo wa kutumia smartphone na uwe nayo.
-Uwe mchangamfu na mwenye kujituma.
-Ukifika ofisini utaelezwa malipo yanavyokuwa na mshahara kwa ujumla.
-Uwe unaishi dar es salaam.
Maelekezo na mawasiliano zaidi piga simu:-0683 374987
Karibu Sana.
Kijana wa watu meifanya siku yake sio nzuri kwa leo, AaahTeh kumbe hata degree hauna, kwako bora kujitolea teh....
Natafuta kazi nimesoma diploma ya Human resource
Natafuta kazi
nafasi za kujitolea