Mama Stagomena Tax alikuwa ni DG wa SADCIshu sio skills wala experience. Hizi taasisi kuna wakati zililaumiwa kwa kuajiri sana watu wa west africa na southern africa. East africa kidogo walipata ni kenya. Mimi binafsi nishaomba sana lakini nikaambulia hola. Natamani kujua kama kuna Watanzania kwenye hizi taasisi na walipataje.