Tuma fasta,omba hata tawi la mtwara kama unaona hutaendana na mazingira ya unguja na pemba,nikuhakikishiena wafuasi kindakindaki wa mesia wanapiga mpunga na miundombinu yao ya kuabudu inapatikanaSawasawa mkuu
Tuma fasta,omba hata tawi la mtwara kama unaona hutaendana na mazingira ya unguja na pemba,nikuhakikishiena wafuasi kindakindaki wa mesia wanapiga mpunga na miundombinu yao ya kuabudu inapatikanaSawasawa mkuu
Nashangaa vijana wetu wanavyojitishaMbona hakuna kigezo cha dini pale, acheni uwoga vijana
Mkuu hiyo degree umeipataje na kiingereza hicho? Haishangazi kuwatisha wenzio kama kichwa ndio hicho.IF YOUR NOT MUSLIM CONSIDER YOUR SELF UNSUCCEFUL
Nilishaomba kitambo mkuu, Unguja huko, cjui hata nikiitwa interview ntaendaje, huko ndo niliona nafitTuma fasta,omba hata tawi la mtwara kama unaona hutaendana na mazingira ya unguja na pemba,nikuhakikishiena wafuasi kindakindaki wa mesia wanapiga mpunga na miundombinu yao ya kuabudu inapatikana
Hao wa Messiah waliomba na wakapata pia? Haina haja ya kuhofia kumbeTuma fasta,omba hata tawi la mtwara kama unaona hutaendana na mazingira ya unguja na pemba,nikuhakikishiena wafuasi kindakindaki wa mesia wanapiga mpunga na miundombinu yao ya kuabudu inapatikana
Nakuombea heri mkuu utoboe,professionals hatupaswi kua waoga,lazima upate changamoto ndipo unapanua cv yakoNilishaomba kitambo mkuu, Unguja huko, cjui hata nikiitwa interview ntaendaje, huko ndo niliona nafit
Mkuu kazi yoyote ina masharti,kama hawakuandika muombaji lazima awe muislamu huna haja ya kuogopa,labda kama ni BakwataHao wa Messiah waliomba na wakapata pia? Haina haja ya kuhofia kumbe
Sawa sawa mkuu tena nimefurahi kusikia ni Bank ya serikali, shukran mkuu na kiukweli inabidi tupunguze uoga as long as hatuendi kuhubiri au kutoa DaawaNakuombea heri mkuu utoboe,professionals hatupaswi kua waoga,lazima upate changamoto ndipo unapanua cv yako
Hata kama ni BAKWATA, kama wakitaka mhasibu au daktari cdhan kama wataangalia diniMkuu kazi yoyote ina masharti,kama hawakuandika muombaji lazima awe muislamu huna haja ya kuogopa,labda kama ni Bakwata
Ameipata kile chuo chap cha maji kasoro bahariMkuu hiyo degree umeipataje na kiingereza hicho? Haishangazi kuwatisha wenzio kama kichwa ndio hicho.
Kuna jamaa wawili sio waislamu wapo pbz na wanapeta tu
Mazee huko Zanzibar .. wazanzibar wenyewe wanapakimbiaNilishaomba kitambo mkuu, Unguja huko, cjui hata nikiitwa interview ntaendaje, huko ndo niliona nafit
Kipya kinyemi wewe...kubadili mazingira sio mbaya pia!Mazee huko Zanzibar .. wazanzibar wenyewe wanapakimbia
Mzumbe?Ameipata kile chuo chap cha maji kasoro bahari
Kuna jamaa wawili hao ndo wanaokula ndogo nino na kukupa kibiri hicho kiingereza kina tatizo gani? hivi homosexual kwanini huwa mnawashwa kila mkiona wanaume pita mbali mimi dini haniruhusu kukula ndogo.Mkuu hiyo degree umeipataje na kiingereza hicho? Haishangazi kuwatisha wenzio kama kichwa ndio hicho.
Kuna jamaa wawili sio waislamu wapo pbz na wanapeta tu
Kisa nini mkuuMazee huko Zanzibar .. wazanzibar wenyewe wanapakimbia
Majibu yako yanaonesha tu degree yako umekariri kama sio kununuaKuna jamaa wawili hao ndo wanaokula ndogo nino na kukupa kibiri hicho kiingereza kina tatizo gani? hivi homosexual kwanini huwa mnawashwa kila mkiona wanaume pita mbali mimi dini haniruhusu kukula ndogo.
Kwani umekariri elimu ni degree tuu wewe homosexual.Majibu yako yanaonesha tu degree yako umekariri kama sio kununua
nasikia kuna skendo ya ubaguzi...wao kwa wao...na hata kwa wabara..otherwise labda kama unapata post kubwa kubwa au post maalumuKisa nini mkuu
Nachomshukuru MUNGU alinipa roho ngumu, hata nikienda ni mwendo wa job- geto-sokoni/mishemishe, me mzee wa kufanya yangu sana, ant socialnasikia kuna skendo ya ubaguzi...wao kwa wao...na hata kwa wabara..otherwise labda kama unapata post kubwa kubwa au post maalumu
Omba mkuu achana na maneno ya kusikianasikia kuna skendo ya ubaguzi...wao kwa wao...na hata kwa wabara..otherwise labda kama unapata post kubwa kubwa au post maalumu