Mwlsamwel
Member
- Dec 13, 2017
- 76
- 75
Habari gani ndugu zangu,
Mimi ni raia wa nchi isiyo ya Afrika ya Mashariki, lakini niliishi Tanzania kuanzia mwezi wa 7 mwaka 2014 hadi mwezi wa 8 mwaka 2016. Ilikuwa kazi ya kujitolea. Sasa, mimi nataka niwe mfanyakazi wa kawaida katika shule ya kitanzania. Je, inawezekana?
Basi, swali langu ni hili: nafasi hizo za kazi kwa ajili ya walimu wageni zingetangaziwa wapi? Tayari niko natafuta kwenye zoomtanzania, brightermonday, na radar recruitment.
Maswali mengine: Pia, walimu wageni wanaruhusiwaje kufundisha? Kuna kikomo cha mkataba? Shule lazima iwe ya private? Visa ya kikazi inapatikanaje? Jamani naomba mwenye ujuzi wa sheria anisaidie kuelewa vizuri hatua zilizo mbele yangu ili ndoto yangu itekelezwe.
Siku hizi niko nasoma kwenye kozi ya cheo cha kufundisha kiingereza kwa wanafunzi wanaojua lugha nyingine kama lugha ya kwanza. Nitamaliza na hiyo kozi mwezi wa tatu mwaka ujao, halafu nataka nianzishe safari yangu ya kurudi Tanzania kwa ajili ya kazi.
Mimi niliweza kujifunza kiswahili kwa sababu niliingia jamii ya kiswahili. Mimi natamani sana kusaidia kujenga jamii ya kiingereza katika shule nzuri ili wanafunzi wakitumie kila siku ili wakijifunze vizuri sana.
Samahani kwa makosa yo yote ya kiswahili ninavyokitaipu. Asanteni kwa kusoma ujumbe wangu. Siku njema.
Mimi ni raia wa nchi isiyo ya Afrika ya Mashariki, lakini niliishi Tanzania kuanzia mwezi wa 7 mwaka 2014 hadi mwezi wa 8 mwaka 2016. Ilikuwa kazi ya kujitolea. Sasa, mimi nataka niwe mfanyakazi wa kawaida katika shule ya kitanzania. Je, inawezekana?
Basi, swali langu ni hili: nafasi hizo za kazi kwa ajili ya walimu wageni zingetangaziwa wapi? Tayari niko natafuta kwenye zoomtanzania, brightermonday, na radar recruitment.
Maswali mengine: Pia, walimu wageni wanaruhusiwaje kufundisha? Kuna kikomo cha mkataba? Shule lazima iwe ya private? Visa ya kikazi inapatikanaje? Jamani naomba mwenye ujuzi wa sheria anisaidie kuelewa vizuri hatua zilizo mbele yangu ili ndoto yangu itekelezwe.
Siku hizi niko nasoma kwenye kozi ya cheo cha kufundisha kiingereza kwa wanafunzi wanaojua lugha nyingine kama lugha ya kwanza. Nitamaliza na hiyo kozi mwezi wa tatu mwaka ujao, halafu nataka nianzishe safari yangu ya kurudi Tanzania kwa ajili ya kazi.
Mimi niliweza kujifunza kiswahili kwa sababu niliingia jamii ya kiswahili. Mimi natamani sana kusaidia kujenga jamii ya kiingereza katika shule nzuri ili wanafunzi wakitumie kila siku ili wakijifunze vizuri sana.
Samahani kwa makosa yo yote ya kiswahili ninavyokitaipu. Asanteni kwa kusoma ujumbe wangu. Siku njema.