Nafasi za Kazi Gardaworld Security Tanzania

vvm

JF-Expert Member
Jul 18, 2014
6,254
10,231
1579614772272.png


UPDATE: INTAKE MPYA 2024 INAENDELEA MWISHO NI TAREHE 10 JANUARY 2024.

Mabadiliko ya Vigezo vya elimu isomeke;
“Elimu ya darasa la saba na kuendelea mpaka chuokikuu. Kwa mwombaji wa darasa la saba ni lazimaawe amepitia mafunzo ya JKT kwa kujitolea au Mafunzo ya Mgambo”


Kampuni ya ulinzi ya GardaWorld Security. Yenye ofisi yake Capripoint mbele kidogo na Kamanga Fery Mwanza na ofisi kuu Mikocheni B Dar es Salaam, Inatangaza nafasi ya kazi Ya ulinzi.

VIGEZO

  1. Elimu: Kidato cha nne na kuendelea.
  2. Uwezo wa kusoma, kuandika na kuongea kiingereza.
  3. Umri wa miaka 23 - 42
  4. Urefu futi 5.7 na kuendelea (kwa wanaume)
  5. Afya njema
  6. Asiwe na makosa yeoyote ya jinai
  7. Awe tayari Kazi Mkoa wowote wa Tanzania.
HATUA
  • Mwombaji Afike na barua ya maombi ya kazi iliyoandikwa kwa mkono na mwombaji kwa kiingereza
  • Nakala za vyeti na vyeti halisi, cheti cha kuzaliwa au hati ya kiapo.
  • Barua ya utambulisho kutoka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa.
  • Barua za wadhamini wawili (zipiigwe muhuri kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa juu ya picha na Wasiwe walinzi au wanafunzi).
  • Mdhamini awe na kitambulisho halali.
  • Mwombaji awe na picha 5 za pasipoti zilizopigwa hivi karibuni
  • Mwombaji awe tayari kwa mahojiano na usaili.

Usaili utafanyika , Ofisini kwetu Capripoint Mwanza kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni.

Epuka matapeli, Hakuna rushwa ni vigezo tu vinazingatiwa.



gardaworld-2.jpg


1579614864546.png
 
Last edited:
Mshahara sh ngapi mkuu maana makampuni ya ulinzi mmekuwa ni wanyonyaji na matapeli wakubwa, mnalipwa laki sita kwa mlinzi mmoja alafu laki nne manakula mlinzi mnampa laki na nusu au laki mbili
Benefits zipo na ni nzuri kuanzia Mshahara, Bonus, Health insurance na Pension. KK security sio Local security company hivyo haki zote za watumishi zinafata international standards, Karibu.
 
Kilimanjaro mpk mwanza nauli ni kama 50+ kwenda na kurudi ni kama 100+
guest ni kama 15 *4=60
chakula 5*4=20
ziada 50
jumla ni laki 2 na 30+
alafu ukalipwe kaki na nusu
 
View attachment 808369

Kampuni ya ulinzi ya KK Security Tanzania Ltd. Yenye ofisi yake Capripoint mbele kidogo na Kamanga Fery Mwanza na ofisi kuu Mikocheni B Dar es Salaam, Inatangaza nafasi ya kazi Ya ulinzi.

VIGEZO


  1. Elimu: Kidato cha nne na kuendelea.
  2. Uwezo wa kusoma, kuandika na kuongea kiingereza.
  3. Umri wa miaka 23 - 42
  4. Urefu futi 5.7 na kuendelea (kwa wanaume)
  5. Afya njema
  6. Asiwe na makosa yeoyote ya jinai
  7. Awe tayari Kazi Mkoa wowote wa Tanzania.
HATUA
  • Mwombaji Afike na barua ya maombi ya kazi iliyoandikwa kwa mkono na mwombaji kwa kiingereza
  • Nakala za vyeti na vyeti halisi, cheti cha kuzaliwa au hati ya kiapo.
  • Barua ya utambulisho kutoka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa.
  • Barua za wadhamini wawili (zipiigwe muhuri kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa juu ya picha na Wasiwe walinzi au wanafunzi).
  • Mdhamini awe na kitambulisho halali.
  • Mwombaji awe na picha 5 za pasipoti zilizopigwa hivi karibuni
  • Mwombaji awe tayari kwa mahojiano na usaili.

Usaili utafanyika kuanzia Tarehe 16 mpaka 20 Julai 2018, Ofisini kwetu Capripoint Mwanza kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni.

Epuka matapeli, Hakuna rushwa ni vigezo tu vinazingatiwa.

Kwa msaada 0743171049.
Mnawasaidiaje wanaotoka Dar?
 
Benefits zipo na ni nzuri kuanzia Mshahara, Bonus, Health insurance na Pension. KK security sio Local security company hivyo haki zote za watumishi zinafata international standards, Karibu.
Acha kuharibu akili za vijana wenzako kwa ujira mdogo.
Health insurance ya aina gani mnaitoa nyie kama sio ile ya one healthy centre/hospital only ambayo hata mkulima mdogo huweza kujilipia.
Nimefanya kazi G4s najua upuuzi wa kampuni hizi. Kk nako kuna marafiki zangu waliwahi kufanya pia.
Ni full utumwa.
 
View attachment 808369

Kampuni ya ulinzi ya KK Security Tanzania Ltd. Yenye ofisi yake Capripoint mbele kidogo na Kamanga Fery Mwanza na ofisi kuu Mikocheni B Dar es Salaam, Inatangaza nafasi ya kazi Ya ulinzi.

VIGEZO

  1. Elimu: Kidato cha nne na kuendelea.
  2. Uwezo wa kusoma, kuandika na kuongea kiingereza.
  3. Umri wa miaka 23 - 42
  4. Urefu futi 5.7 na kuendelea (kwa wanaume)
  5. Afya njema
  6. Asiwe na makosa yeoyote ya jinai
  7. Awe tayari Kazi Mkoa wowote wa Tanzania.
HATUA
  • Mwombaji Afike na barua ya maombi ya kazi iliyoandikwa kwa mkono na mwombaji kwa kiingereza
  • Nakala za vyeti na vyeti halisi, cheti cha kuzaliwa au hati ya kiapo.
  • Barua ya utambulisho kutoka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa.
  • Barua za wadhamini wawili (zipiigwe muhuri kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa juu ya picha na Wasiwe walinzi au wanafunzi).
  • Mdhamini awe na kitambulisho halali.
  • Mwombaji awe na picha 5 za pasipoti zilizopigwa hivi karibuni
  • Mwombaji awe tayari kwa mahojiano na usaili.

Usaili utafanyika kuanzia Tarehe 16 mpaka 20 Julai 2018, Ofisini kwetu Capripoint Mwanza kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni.

Epuka matapeli, Hakuna rushwa ni vigezo tu vinazingatiwa.
Mkuu vp nafasi bado zipo? Kuna watu wanaitaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom