
- Joined
- Jul 18, 2014
- Messages
- 2,644
- Likes
- 1,979
- Points
- 280

vvm
JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014



UPDATE NAFASI MPYA TAREHE 03 MPAKA 12 - December -2018
Kampuni ya ulinzi ya KK Security Tanzania Ltd. Yenye ofisi yake Capripoint mbele kidogo na Kamanga Fery Mwanza na ofisi kuu Mikocheni B Dar es Salaam, Inatangaza nafasi ya kazi Ya ulinzi.
VIGEZO
- Elimu: Kidato cha nne na kuendelea.
- Uwezo wa kusoma, kuandika na kuongea kiingereza.
- Umri wa miaka 23 - 42
- Urefu futi 5.7 na kuendelea (kwa wanaume)
- Afya njema
- Asiwe na makosa yeoyote ya jinai
- Awe tayari Kazi Mkoa wowote wa Tanzania.
- Mwombaji Afike na barua ya maombi ya kazi iliyoandikwa kwa mkono na mwombaji kwa kiingereza
- Nakala za vyeti na vyeti halisi, cheti cha kuzaliwa au hati ya kiapo.
- Barua ya utambulisho kutoka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa.
- Barua za wadhamini wawili (zipiigwe muhuri kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa juu ya picha na Wasiwe walinzi au wanafunzi).
- Mdhamini awe na kitambulisho halali.
- Mwombaji awe na picha 5 za pasipoti zilizopigwa hivi karibuni
- Mwombaji awe tayari kwa mahojiano na usaili.
Usaili utafanyika kuanzia Tarehe 16 July , Ofisini kwetu Capripoint Mwanza kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa kumi na moja jioni.
Epuka matapeli, Hakuna rushwa ni vigezo tu vinazingatiwa.
UPDATE:
INTAKE MPYA JANUARY 2019 INAENDELEA
WAOMBAJI WENYE VIGEZO WANAKARIBISHWA
KUMBUKA, TARATIBU ZOTE NI BURE HIVYO EPUKA MATAPELI.
Last edited: