kuna nafasi za kazi zinatangazwa kwenye magazeti ya michezo na udaku kama risasi, mwanasport, dimba na mengineyo. qualifications zao zinakuwa form 4, 6 na vyuo. vipi zinamaslahi au zimekaaje? mwenye kulijua hili naomba taarifa.
kuna nafasi za kazi zinatangazwa kwenye magazeti ya michezo na udaku kama risasi, mwanasport, dimba na mengineyo. qualifications zao zinakuwa form 4, 6 na vyuo. vipi zinamaslahi au zimekaaje? mwenye kulijua hili naomba taarifa.
Ukitaka kujua uhondo wa ngoma, we ingia ucheze. Na kwa nini unasoma magazeti ya udaku kama mtoto wa kike?
Anyway, kwa kifupi ni ajira uchwara za kuuza vitu mkononi. Nafikiri unawaona vijana mtaani wakibeba chupa za chai na mabeseni kila mtaa. Kama umri unaruhusu ni good experience in life. Lkn km una miaka kama yangu, you will find it difficult kutembea all over the city. Tatizo lao hawa wenye kutoa hizi ajira ni wadaku km magazeti wanayoyatumia kutangaza. Wanaficha ukweli mpk mtu ufike ofisini kwao ndio unabaini ni nini wanafanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.