I_bin_suleyman
Member
- Jul 23, 2016
- 11
- 3
Hivi hii kampuni ya NAAWEP ilioko America ya kaskazini ilitoa ajira kwa watu isipokua wazawa wa America ya kaskazini sasa wakubwa nauliza ipo kweli hii kampuni au ni wezi hawa maana hivi karibuni walitoa nafasi za kazi walioingia ktk short listed waliambiwa watafute passport ya kusafiria then kila kitu kuhusu nauli yakukwea ndege watagharamikia wao kuelekea Marekani.