chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,489
- 2,573
Ww umeelewaje ?Unauliza swali au unatoa taarifa
Ww umeelewaje ?Unauliza swali au unatoa taarifa
Ni kweli tunaomba tu huwezi jua ya Mungu mengiVijana nawasihii, Ombeni hizo nafasi usiangalie idadi.. wewe omba.
Usitake kujua idadi, wewe ombaaa
Jaribu kwanza, kukata tamaa iwe ni last option kwenye kila jema unalopanga..Ni kweli tunaomba tu huwezi jua ya Mungu mengi
ila si unajua connection nyingi sana ndio maana watu tunakata tamaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hizi nafasi pia n za wanasayansi au hata sisi arts tutapata mkuu?Jaribu kwanza, kukata tamaa iwe ni last option kwenye kila jema unalopanga..
Kujaribu si ghali..
Ukijaribu unaweza kupta, Je ukikata tamaa utapata?
Askari unatakiwa kujaribu, Kushindwa kwako kuje baada ya kujaribu na sio kushindwa kuje kwa kukata tamaaa.
Awiiiih... Awaaah
Vigezo kwenye kila tangazo viko wazi.Hizi nafasi pia n za wanasayansi au hata sisi arts tutapata mkuu?
kivipi Yani. arts zipo au hazipoVigezo kwenye kila tangazo viko wazi.
Wadau Hizi Kazii za Magereza naonaa Wamesemaa Wanahitaji watuu Wa afya Diplomaa ,,Je Magereza Wana Hospital zao ??Inakuaje hapo Wakurugwa mnisaidie Ni kama Polisi na hospital zaokama hukuomba USISUMBUKE NA IDADI..
Wazalendo leteni update za huko
HahahahahWadau Hizi Kazii za Magereza naonaa Wamesemaa Wanahitaji watuu Wa afya Diplomaa ,,Je Magereza Wana Hospital zao ??Inakuaje hapo Wakurugwa mnisaidie Ni kama Polisi na hospital zao
Wadau Hizi Kazii za Magereza naonaa Wamesemaa Wanahitaji watuu Wa afya Diplomaa ,,Je Magereza Wana Hospital zao ??Inakuaje hapo Wakurugwa mnisaidie Ni kama Polisi na hospital zao
Wadau Hizi Kazii za Magereza naonaa Wamesemaa Wanahitaji watuu Wa afya Diplomaa ,,Je Magereza Wana Hospital zao ??Inakuaje hapo Wakurugwa mnisaidie Ni kama Polisi na hospital zao
Kwani wewe si upo Usaili?Vijana hawaleti taarifa, au majina yenu hayajatoka?
Ombeni MAGEREZA sasa
Duh, mi niko shamba huku maeneo ya kibitiKwani wewe si upo Usaili?
Mmmmmhh lakini si una Lonja kutoka Kwa Vijana waloeenda hukoooDuh, mi niko shamba huku maeneo ya kibiti
Hapana mkuu ngoja mi niendelee na kilimo shift ya jioni hiiMmmmmhh lakini si una Lonja kutoka Kwa Vijana waloeenda hukooo
Kipengele No. 5 ndo kinaleta shida zote zinazoendelea kwa Kina Kingai na Mahita!!!!Jeshi la polisi Tanzania limetangaza nafasi za kazi, kwa maelekezo zaidi soma
View attachment 1897057View attachment 1897058