Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 998
- 545
Vijana vazi la Askari la kiraia ni tshirt/Jersey/traki msiende kwenye usaili mkiwa mmechomekea suruali ya kitambaa na shati na moka hili vazi waachieni raia wa saili za kiraia.
Utarolishwa au kukimbiza upepo na suti yako uone jeshi gumu.
Jeshi siyo kiwanda cha NOVIDA au kampuni ya Vodacom.
Hahahahaha hahahahahahahahah dah nimecheka sana mkuu...bora umefumbua watu macho asee kuhusu ilo swala la mavazi