Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,221
- 2,801
Wakubwa huwa wanapewa nafasi labda 3 au 5 aweke watu wake hivyo ni kawaida kabisa.Kijana swala la kupigiwa simu, sio tatizo tatizo liko mzigo ukitumwa makao makuu ya polisi , huko ndo ukisikia mtu hajawai hata kufanya usahili ila yupo kwenye list.