Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Labda Kama instructor ni "mdebwedo".

Ila kama mtu wa kazi, ashkhi ya tendo unaitoa wapi?

Uzinzi ni dhambi nzito Sana.. tuiepike zinaa.

1 Wakorintho 6:18
"Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe."
Miezi 9 usisimamishe mnazi? Siyo rahisi.
 
Vijana wa jkt raundi hii lazima mtafutane huko mtaani na huko makambini maana naona Mama anawapigia mwingi kweli kweli na hapo bado TPDF baba lao. View attachment 1951284
Enzi zile za JK zimerudi tena majeshini,enzi zile watoto wa wakubwa kuwakuta jeshini ni mmoja mmoja yaani maana ajira zimefunguliwa sasa,ajira za walalahoi majeshini na ualimu na ajira za wazito wizarani na taasisi kubwa kubwa.Vijana mshindwe wenyewe
 
Mnazifatilia ajira za polisi uhamiaji na zimamoto na magereza wakuu si tulikubariana huko wanaenda ma failures au?
 
  • Thanks
Reactions: _ID
Hakuna sehem yenye wasomi wa kila aina na kila daraja la elimu kama kwenye vyombo vya ulinzi kuanzia la 7 wapo form four 4 wapo six wamejaa bachellor holder wakutosha ma doctor ma engineer ma pilot usisema ma docta bigwa wakumwaga tubadirike hii mentality kwamba Jeshini hakuna wasomi.
 
Hakuna sehem yenye wasomi wa kila aina na kila daraja la elimu kama kwenye vyombo vya ulinzi kuanzia la 7 wapo form four 4 wapo six wamejaa bachellor holder wakutosha ma doctor ma engineer ma pilot usisema ma docta bigwa wakumwaga tubadirike hii mentality kwamba Jeshini hakuna wasomi.

Tushabadikika boss,ndio maana tunafuatilia kwa ukaribu sana
 
Hakuna sehem yenye wasomi wa kila aina na kila daraja la elimu kama kwenye vyombo vya ulinzi kuanzia la 7 wapo form four 4 wapo six wamejaa bachellor holder wakutosha ma doctor ma engineer ma pilot usisema ma docta bigwa wakumwaga tubadirike hii mentality kwamba Jeshini hakuna wasomi.
Waache wakariri tu..
 
IMG_7104.jpg

IMG_7105.jpg

IMG_7106.jpg

IMG_7107.jpg

IMG_7108.jpg

IMG_7109.jpg

IMG_7110.jpg

IMG_7111.jpg

IMG_7112.jpg

IMG_7113.jpg

IMG_7114.jpg

IMG_7115.jpg

IMG_7116.jpg

IMG_7117.jpg

IMG_7118.jpg

IMG_7119.jpg

IMG_7120.jpg

IMG_7121.jpg

IMG_7122.jpg

IMG_7123.jpg

IMG_7124.jpg

IMG_7125.jpg

IMG_7126.jpg

IMG_7127.jpg

IMG_7128.jpg

IMG_7129.jpg

IMG_7130.jpg

IMG_7131.jpg

IMG_7132.jpg

IMG_7133.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom