Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,221
- 2,801
Ukiitwa basi kweli una zali..waombaji ni wengi mistake moja tu unatupwa nje..Duuuh mambo haya mzee ni hatwari kabisa...kwa ambao hawakuambatanisha LEAVING CERTIFICATES je inakuaje
Ukiitwa basi kweli una zali..waombaji ni wengi mistake moja tu unatupwa nje..Duuuh mambo haya mzee ni hatwari kabisa...kwa ambao hawakuambatanisha LEAVING CERTIFICATES je inakuaje
Pole.Kazi za laana Bora niwe omba omba kuliko kuwa police
Kwenye kuthibitishwa vyeti hapo imekaaje hyo mn m najua vyeti lbd km vimetofautiana ndo unaweza kwenda kuapa mahakamaniOktoba tarehe za mwanzo mwanzo mbivu na mbichi mtazijua..
Japo nasikitika kuwaambia vigezo vitawaangusha wengi sana watu wametuma maombi MM hata wasio na sifa,yaani mtu hana sifa hata moja labda sifa ya kuwa na Shahada au Stashahada,Astashahada tu.
Wapo walioandika barua zao kwa kuchapa kwa kompyuta,wapo walioambatisha vyeti vinatofautiana majina mfano mtu leaving ya kidato cha 4 anaitwa Anna Masesa ila cheti cha Shahada anaitwa Anna Richard Masesa,wengine barua za utambulisho hajaweka sasa hapo lazima upigwe chini tu.
Ila wapo walio smart sana mtu kaweka kila dokumenti aliyotakiwa kuiambatisha,barua safi kaandika,kaweka passport 3,kaweka kivuli cha namba au kadi ya NIDA,kaweka barua ya utambulisho,mwingine kaweka hadi barua ya tabia njema kutoka PT,vyeti vyake vya elimu viko na majina sawa na vimethibitishwa na mwanasheria,fomu ya hospitali kaweka yaani safi kabisa.
Ijia na hii
Mkuu hujawahi kuona nakala ya cheti labda cha elimu kimepigwa muhuri wa mwanasheria au wa mahakama kuthibitisha kuwa ni nakala halisi ya cheti halali?Kwenye kuthibitishwa vyeti hapo imekaaje hyo mn m najua vyeti lbd km vimetofautiana ndo unaweza kwenda kuapa mahakamani
Mkuu hujawahi kuona nakala ya cheti labda cha elimu kimepigwa muhuri wa mwanasheria au wa mahakama kuthibitisha kuwa ni nakala halisi ya cheti halali?
Me barua nimeandika kwa mkono na passport zangu tatu nimeziambatanisha vyeti vyangu vya shule form six na four na cheti cha jkt pamoja na leaving ya form four pekee pia na form ya hospital nimeambatanisha hadi kitambulisho cha Nida..uzuri pale tanga siku ya kwanza kwenda unajijua Kabisa mana wanachuja Kabisa vyeti kabla hujaitwa usaili wowote hii ingekuwa mikoa yote ingekuwa Safi Sana mkuu.Oktoba tarehe za mwanzo mwanzo mbivu na mbichi mtazijua..
Japo nasikitika kuwaambia vigezo vitawaangusha wengi sana watu wametuma maombi MM hata wasio na sifa,yaani mtu hana sifa hata moja labda sifa ya kuwa na Shahada au Stashahada,Astashahada tu.
Wapo walioandika barua zao kwa kuchapa kwa kompyuta,wapo walioambatisha vyeti vinatofautiana majina mfano mtu leaving ya kidato cha 4 anaitwa Anna Masesa ila cheti cha Shahada anaitwa Anna Richard Masesa,wengine barua za utambulisho hajaweka sasa hapo lazima upigwe chini tu.
Ila wapo walio smart sana mtu kaweka kila dokumenti aliyotakiwa kuiambatisha,barua safi kaandika,kaweka passport 3,kaweka kivuli cha namba au kadi ya NIDA,kaweka barua ya utambulisho,mwingine kaweka hadi barua ya tabia njema kutoka PT,vyeti vyake vya elimu viko na majina sawa na vimethibitishwa na mwanasheria,fomu ya hospitali kaweka yaani safi kabisa.
Tusubiri neema ya Mungu.. maana kila mtu anaropoka lake tuu
HahahahahTusubiri neema ya Mungu.. maana kila mtu anaropoka lake tuu
Kila la kheri jiandae na interview leoMkoa wa lindi tumeitwa kesho
Mkoa wa lindi tumeitwa kesho
Yani polisi mna mambo ya ajabu sana ndugu zetu nyiny sasa cheti cha kuthibitisha afya kutoka kwa Daktari cha nini???kwani uyo muombaji akija uko amumpimi afya yake ???mpaka mpate cheti kutoka kwa daktari kuthibitisha afya yake je kama mtu akidanganya jee???nu mambo ya hovyo sana.Oktoba tarehe za mwanzo mwanzo mbivu na mbichi mtazijua..
Japo nasikitika kuwaambia vigezo vitawaangusha wengi sana watu wametuma maombi MM hata wasio na sifa,yaani mtu hana sifa hata moja labda sifa ya kuwa na Shahada au Stashahada,Astashahada tu.
Wapo walioandika barua zao kwa kuchapa kwa kompyuta,wapo walioambatisha vyeti vinatofautiana majina mfano mtu leaving ya kidato cha 4 anaitwa Anna Masesa ila cheti cha Shahada anaitwa Anna Richard Masesa,wengine barua za utambulisho hajaweka sasa hapo lazima upigwe chini tu.
Ila wapo walio smart sana mtu kaweka kila dokumenti aliyotakiwa kuiambatisha,barua safi kaandika,kaweka passport 3,kaweka kivuli cha namba au kadi ya NIDA,kaweka barua ya utambulisho,mwingine kaweka hadi barua ya tabia njema kutoka PT,vyeti vyake vya elimu viko na majina sawa na vimethibitishwa na mwanasheria,fomu ya hospitali kaweka yaani safi kabisa.
Mmepataje tangazo??? Au kwenye mbao za matangazo za RPC???Mkoa wa lindi tumeitwa kesho
Yani polisi mna mambo ya ajabu sana ndugu zetu nyiny sasa cheti cha kuthibitisha afya kutoka kwa Daktari cha nini???kwani uyo muombaji akija uko amumpimi afya yake ???mpaka mpate cheti kutoka kwa daktari kuthibitisha afya yake je kama mtu akidanganya jee???nu mambo ya hovyo sana.
Mbona sisi atuko hivyo nakumbuka tulienda kufanyisha usaili kambi ya JKT Mgambo kipindi sisi tulikuwa tunataka tuu kuangalia vyeti kama majina yamefananu na kile kiwango chetu cha ufaulu tunachokitaka kama upo clear tunakupima ukimwi,sukari,presha na macho kama vipimo vyote uko vizuri ndo ushapata ajira no longo longo...
By the way ndo mana mna dharaulika na kuambiwa hata iyo Police General Order amuifahamu mnashangaza mno kwann mnakuwa hivi nyinyi ndugu zetu sisi wote tuna save ssme flag why mnamambo ya ajabu ajabu mpaka kuweni specific bhana....
Unadhani huu usaili ungewahitaji vijana walioko makambini JKT tu mpaka sasa vingehitajika vielelezo vyote hivyo?Yani polisi mna mambo ya ajabu sana ndugu zetu nyiny sasa cheti cha kuthibitisha afya kutoka kwa Daktari cha nini???kwani uyo muombaji akija uko amumpimi afya yake ???mpaka mpate cheti kutoka kwa daktari kuthibitisha afya yake je kama mtu akidanganya jee???nu mambo ya hovyo sana.
Mbona sisi atuko hivyo nakumbuka tulienda kufanyisha usaili kambi ya JKT Mgambo kipindi sisi tulikuwa tunataka tuu kuangalia vyeti kama majina yamefananu na kile kiwango chetu cha ufaulu tunachokitaka kama upo clear tunakupima ukimwi,sukari,presha na macho kama vipimo vyote uko vizuri ndo ushapata ajira no longo longo...
By the way ndo mana mna dharaulika na kuambiwa hata iyo Police General Order amuifahamu mnashangaza mno kwann mnakuwa hivi nyinyi ndugu zetu sisi wote tuna save ssme flag why mnamambo ya ajabu ajabu mpaka kuweni specific bhana....
umeshapita mzee jiandae tu kuwa ofisa wa polisi, maana kuanzia elimu ya form 6 huwa mwsho wa sku wanapewa vyeo vkubwa. Jiandae kula mema ya nchiMe barua nimeandika kwa mkono na passport zangu tatu nimeziambatanisha vyeti vyangu vya shule form six na four na cheti cha jkt pamoja na leaving ya form four pekee pia na form ya hospital nimeambatanisha hadi kitambulisho cha Nida..uzuri pale tanga siku ya kwanza kwenda unajijua Kabisa mana wanachuja Kabisa vyeti kabla hujaitwa usaili wowote hii ingekuwa mikoa yote ingekuwa Safi Sana mkuu.
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app