Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Tupeni lonja tuishi

Hivi mtu akiwa ametoka meno yote ya mbele anaweza kupita kwenye usaili na Hana mtu wa kumshika mkono anategemea tu vyeti vyake.

Naombeni lonja katika hili
 
Kama kuna mtu wa kidato cha 4 na 6 ambaye yupo humu anasubiria lonja za majina kwaajili ya usaili asipoteze sana muda humu,awe anapita kwenye mbao za matangazo za ofisi za RPC au RC wa mkoa husika.

Wale wa Astashahada,Stashahada,Shahada mliotuma awali maombi yenu endeleeni kuvumilia majina yatoke pamoja na ya hawa waliotangaziwa kutuma jana maombi mpaka tarehe 29 ndiyo mwisho.
 
Tupeni lonja tuishi

Hivi mtu akiwa ametoka meno yote ya mbele anaweza kupita kwenye usaili na Hana mtu wa kumshika mkono anategemea tu vyeti vyake.

Naombeni lonja katika hili
Jeshini mapengo huchukuliwi,labda uyapatie kwenye ajira.

Meno yana msaada mkubwa sana kwenye ubebaji wa vitu vizito kama ilivyo marinda,kwahiyo kama huna meno ya mbele wewe ni UNFIT.
 
Kama kuna mtu wa kidato cha 4 na 6 ambaye yupo humu anasubiria lonja za majina kwaajili ya usaili asipoteze sana muda humu,awe anapita kwenye mbao za matangazo za ofisi za RPC au RC wa mkoa husika.

Wale wa Astashahada,Stashahada,Shahada mliotuma awali maombi yenu endeleeni kuvumilia majina yatoke pamoja na ya hawa waliotangaziwa kutuma jana maombi mpaka tarehe 29 ndiyo mwisho.

Duuh kumbe yatatoka pamoja na haya wanayoomba..??duh hapa had November hapa
 
Oktoba tarehe za mwanzo mwanzo mbivu na mbichi mtazijua..

Japo nasikitika kuwaambia vigezo vitawaangusha wengi sana watu wametuma maombi MM hata wasio na sifa,yaani mtu hana sifa hata moja labda sifa ya kuwa na Shahada au Stashahada,Astashahada tu.

Wapo walioandika barua zao kwa kuchapa kwa kompyuta,wapo walioambatisha vyeti vinatofautiana majina mfano mtu leaving ya kidato cha 4 anaitwa Anna Masesa ila cheti cha Shahada anaitwa Anna Richard Masesa,wengine barua za utambulisho hajaweka sasa hapo lazima upigwe chini tu.

Ila wapo walio smart sana mtu kaweka kila dokumenti aliyotakiwa kuiambatisha,barua safi kaandika,kaweka passport 3,kaweka kivuli cha namba au kadi ya NIDA,kaweka barua ya utambulisho,mwingine kaweka hadi barua ya tabia njema kutoka PT,vyeti vyake vya elimu viko na majina sawa na vimethibitishwa na mwanasheria,fomu ya hospitali kaweka yaani safi kabisa.
 
Oktoba tarehe za mwanzo mwanzo mbivu na mbichi mtazijua..

Japo nasikitika kuwaambia vigezo vitawaangusha wengi sana watu wametuma maombi MM hata wasio na sifa,yaani mtu hana sifa hata moja labda sifa ya kuwa na Shahada au Stashahada,Astashahada tu.

Wapo walioandika barua zao kwa kuchapa kwa kompyuta,wapo walioambatisha vyeti vinatofautiana majina mfano mtu leaving ya kidato cha 4 anaitwa Anna Masesa ila cheti cha Shahada anaitwa Anna Richard Masesa,wengine barua za utambulisho hajaweka sasa hapo lazima upigwe chini tu.

Duuuh mambo haya mzee ni hatwari kabisa...kwa ambao hawakuambatanisha LEAVING CERTIFICATES je inakuaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom