Gpili
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,183
- 2,080
Ndio maana wasomi wanachukuliwa wachache wengi wanataka kula bata ikiwa hii kazi siyo ya bata,ndio Sababu ya kuwa na Askari wazembe waoga na vitambi vikubwa .mkuu wa majeshi inabidi atoe changamoto kwa vijana kuwapeleka hata Somalia Congo wakae vizuri Zaid kiuhalisia .Kuna jamaa aliniambia et graduates watakaopita wakishamaliza kozi wanapangiwa vitengo vyao kulingana na fani zao...Mfano Doctor-hospitali za polisi kuna ukweli apo..??au utaratibu upoje
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app