BlackHermito
JF-Expert Member
- Oct 15, 2020
- 748
- 1,129
GoodLazima
GoodLazima
Asante kwa jibu mkuu, swali lingine, vijana ambao watafanikiwa kuchaguliwa na kwenda mafunzoni, wakati wa mafunzo watakuw wanapewa posho kama wale ambao wanaendaga jkt au kwenye mafunzo huko ya polisi hamna posho?Huo ndiyo ukweli,wewe ni Askari unaogopa lindo?
Na hii ni moja ya sababu ya wasomi kutokupewa kipaumbele kwenye nafasi za ajira maana mko too selective sana na nidhamu ya kijeshi huwa haiwaingii vizuri hata mfungiwe jeshini miaka mingi.
Limepita chini chini mwenyewe nilishangaa kwa status za watu
Duuh kweli mkuuLimepita chini chini mwenyewe nilishangaa kwa status za watu
Mbna hata huku mtaani vipaji vipo vingi tu c wangetoa Tangazo moja tu kwa vijana woteWahusika walipewa tangazo, watu wa academies za mpira, timu za wanawake za mpira zenye mabinti wadogo, boxing clubs, dojangs za Taekwondo, etc
Walihitajika wanamichezo hasa na sio blah blah
Hili swala la police sio mchezo
Posho lazima.Asante kwa jibu mkuu, swali lingine, vijana ambao watafanikiwa kuchaguliwa na kwenda mafunzoni, wakati wa mafunzo watakuw wanapewa posho kama wale ambao wanaendaga jkt au kwenye mafunzo huko ya polisi hamna posho?
Hizi nafasi kama huna mtu wa kukusimamia sizani kama unaweza pata hata kama una CV tamu sana zinagombaniwa kama dhahabu.
KwaniniHizi nafasi kama huna mtu wa kukusimamia sizani kama unaweza pata hata kama una CV tamu sana zinagombaniwa kama dhahabu.
Hizi nafasi kama huna mtu wa kukusimamia sizani kama unaweza pata hata kama una CV tamu sana zinagombaniwa kama dhahabu.
Refer 20... Jamaa yangu wa karibu hakupitia popote SEMA kipindi Cha Jk
Mt wangu wa karibu ALIKUWA na ukaribu na boss Ccp kipindi hicho ni simu tuuu iliita nikasikia majina yake akareport kambini
Jamaa kamaliza kozi kaenda miaka kadhaa mkoa x kaingia Kwa ulevi kazi OUT na vyeti ALIKUWA navyo
Najua anataga Hint alilewa akatia silaha vibayaKwani mkuu askari hawaruhusiwi kunywa pombe..
Najua anataga Hint alilewa akatia silaha vibaya
Story za undani sijui
Japo jamaa ananyota na mademu inasemekana Ali Mt......
Mtoto wa mkuu wa kituo(mmama)
Mimi sio mtu wa lonja, muda ukifika mtaona majina yenu
Idadi kubwa ya vijana maombi yamesitishwa 18/09/21 juma mosi alafu watoe majina leo jumatatu, kids fikiria twice, uchambuzi wakina unafanyika , kama huna vigezo , lazima uwe na mbanga, mwenye mkasi na nyota moja polisi ndo utapenya la si ivyo, your disqualify son, , see you on the other side ..Ila wamekaa sana kutoa majina..?duh
Majina dar wanatoa liniIla wamekaa sana kutoa majina..?duh