Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,221
- 2,801
Dar ni mkoa mgumu sana kwa kweli kwa mtu kama huna connection kupenya(sikukatishi tamaa lakini) ila Dar niijuavyo ah watoto wa baba kanituma ni wengi sana,heri ukaombee nafasi huko Kigoma,Rukwa,Katavi watu mwamko bado ni mdogo ila siyo Dar,Arusha,Mwanza,Iringa,Mbeya,Morogoro,Pwani,Dodoma nk..Naomba taarifa vijana Dar Usail watafanya lini!?
Usishangae wa Dar wakaitwa kimya kimya.