pestanadelavida
New Member
- Sep 11, 2021
- 4
- 0
kumradh naomba kama kumtu anaordha ya majina ya usaili jeshi la la polisi kwa zile kada/fani maalumu anisaidie
Bado hazijatoka hizokumradh naomba kama kumtu anaordha ya majina ya usaili jeshi la la polisi kwa zile kada/fani maalumu anisaidie what's app 0624404031
Kwa Elimu hiyo,huyo ni kilaza kabisa,wasomi wazuri kuanzia Form six,stashahada,mpaka shahada wapo,kwanini upereke vilaza!!Acha roho mbaya ,kwani anapelekwa tuu? si anapewa mafunzo...
We Jamaa Acha roho Mbaya.Kwa Elimu hiyo,huyo ni kilaza kabisa,wasomi wazuri kuanzia Form six,stashahada,mpaka shahada wapo,kwanini upereke vilaza!!
Hawa ndio walikuwa manunda shuleni,harafu unataka uwakabidhi silaha!!!Hawa ndio wanaoteka na kubaka!!!
Kuna mtu kamaliza 2009 na hadi sasa ana miaka 26.... Bongo bhana uongo mwingi sana.View attachment 1930924
Kama kwenye tangazo fm 4 wanasema awe wa mwaka 2017
Majina yaliyochaguliwa baada ya mchujo ndo haya Kuna wa 2010 these is Bull Shit WADAU
NA WAMEPITISHWA MZEE DOM HIYOOKuna mtu kamaliza 2009 na hadi sasa ana miaka 26.... Bongo bhana uongo mwingi sana.
Ndiyo, kwa sababu mna uelewa mkubwa sana na sisi tunahitaji watu wa kuwacontol kirahisi rahisiKwahiyo tuliopata ufaulu wa daraja la I na II haturuhusiwi kuomba ama!
Hahahahaha we Jamaa una mindset za kikoroni sanaaNdiyo, kwa sababu mna uelewa mkubwa sana na sisi tunahitaji watu wa kuwacontol kirahisi rahisi
Hata daraja la tatu hatuwahitajiHii kali. Yaani division 1 na 2 hawatakiwi!! Hili jeshi wanajifahamu vizuri wakiongozwa na Zirro.
View attachment 1897216
Hahaha Mkuu unaonekana hujiaminiiHata daraja la tatu hatuwahitaji
Acha utoto wewe naniHata daraja la tatu hatuwahitaji
Mimi ni kraitAcha utoto wewe nani
Wewe sio Polisi.Unaonea wivu wenye ufaulu mzuriMimi ni krait
Mkuu kwenye tangazo letu hapo tunahitaji daraja la nne lenye pointi kuanzia 29 hadi 32
Ila Kuna kaukweli wanachukua 4 tuuWewe sio Polisi.Unaonea wivu wenye ufaulu mzuri
Mkuu kwa ile interview iliyofanyika tanga kma mtihani unadhani kikubwa kinachozingatiwa nini kwenye kusahisha mule nasikia ilikuwa surprise watu macho yamewatokaSijajua Mkuu.Kwa kuwa kozi ni mpaka Januari mwakani(japo inaweza kubadirika) ni muda wowote wataitwa.
Waliuliza maswali gani? Ilikuwa ya kuandika au oralMkuu kwa ile interview iliyofanyika tanga kma mtihani unadhani kikubwa kinachozingatiwa nini kwenye kusahisha mule nasikia ilikuwa surprise watu macho yamewatoka